• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC Kigoma atahadhari juu ya ugonjwa wa UVIKO 19 Mkoani Kigoma.

Posted on: July 10th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye ametoa Tahadhari kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuchukua hatua zote zinazoelekezwa na wataalam wa AFYA kujikinga na Ugonjwa wa UVIKO 19.

 Andengenye ametoa Tahadhari hiyo Wakati wa kuwasilisha utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM 2020 kwa kipindi cha mwaka Mmoja.

Amesema hali ya ugonjwa wa UVIKO 19 kwa Mkoa wa Kigoma ni nzuri ila kwasababu hali ya nchi jirani sio nzuri, ametoa wito kuhakikisha wananchi wanachukua tahadhari ya kuambukizwa kwa kufanya Kunawa Mikono kwa maji tiririka na sabuni, Kuepuka misongamono isiyo ya lazima, Kuvaa barakoa ukiwa kwenye maeneo ya msongamano na kwenye ofisi/ maeneo ambapo mzunguko wa hewa ni mdogo, Kukaa umbali wa mita tatu, Kufanya mazoezi  na Kula lishe bora

Maelekezo mengine aliyoyatoa Mkuu wa Mkoa huyo ni Pamoja na  Maeneo yote ya kutolea huduma za kiserikali, taasisi mbalimbali (Kama vile benki nk)  watu wavae barakoa, Elimu iendelee kutolewa maeneo yote kama vile sehemu za ibada, sokoni, mashuleni na maeneo ya stendi.Wamiliki wa vyombo vya usafiri, wahakikishe wasafiri wanavaa barakoa na kunawa mikmono au kutakasa na vipukusi mara kwa mara

Aisha amewataka kila mfanyaboiashara ahakikishe kuna sehemu ya kunawia mikono kwenye eneo lake la Biashara

Viongozi wote mlioko hapa simamieni kuhakikisha kuwa tahadhari zinachukuliwa, maana kuna sehemu kuna vifaa vya kunawia mikono matumizi yake ni hafifu(hakuna maji, hakuna sabuni)

Na amewaomba Pamoja na kuchukua hatua hizo pia kila mmoja  kuzidi kumuomba Mungu kila mtu kwa imani yake ili Mungu atuepushe na hili janga la UVIKO 19

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa