• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
      • Seksheni ya Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC Kigoma asema hakuna Maagizo ya Serikali kwa Idara ya Uhamiaji kuwanyanyasa Wananchi

Posted on: July 9th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Adengenye amesema Jeshi la Polisi Mkoani humo halijawahi kumuagiza Afisa yeyote wa idara ya Uhamiaji wala Jeshi la Polisi kufanya kazi kinyume na miongozo na utaratibu na kwamba hakua maagizo ya Serikali kwa Jeshi la Polisi la kuwanyanyasa Wananchi kwa kigezo cha uraia.

Akiongea wakati wa kujibu hoja iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kigoma mjini Mhe.Kirumbe Ng’enda wakati wa Kikao cha Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi cha kuwasilisha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015 – 2020 kuhusu malalamiko ya Wananchi wa Mkoa wa Kigoma dhidi ya Maafisa wa Uhamiaji kuwanyanyasa Wananchi katika masuala ya uraia Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias andengenye alisema wataendelea kufanyia kazi malalamiko yaliyotolewa.

amesema malalamiko yanayotolewa dhidi ya maafisa wa idara ya Uhamiaji si utendaji wa Watumishi wa idara yote, isipokuwa kuna baadhi ya maafisa wa idara hiyo huenda wanatenda kinyume na sheria za uhamiaji na kuwataka kuacha mara moja kufanya hivyo  lakini ifahamike kwamba Jeshi la polisi linafanya kazi kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu na kwamba si nia ya jeshi hilo kumuonea mwananchi, na kama kunamaafisa wa Idara ya Uhamiaji wanatenda kinyume na miongozo ya kazi zao Serikali itachukua hatua dhidi yao aliongeza.

Andengenye amesisitiza Maafisa wa Idara ya Uhamiaji wanaojihusisha na vitendo vilivyo kinyume na utendaji wa Sheria za Uhamiaji kuacha maramoja, sambamba na hilo amewaomba viongozi mbalimbali Mkoani Kigoma pamoja na Wananchi kutoa taarifa mara moja wanapoona hali ya kutotendewa haki na idara ya uhamiaji.

Idara ya Uhamiaji Mkoani Kigoma imelalamikiwa kwa kutesa na kunyanyasa Wananchi kwa kisingizio cha uaraia ambapo imedaiwa kuwa baadhi ya maafisa wamekuwa wakikamata watu na kuwaambia kuwa siyo raia wa Tanzania na kuwanyanyasa na kuwaweka mahabusu jambo ambalo linatweza ubinadamu.

Aidha sababu nyingine imedaiwa ni kuwakamata watu kwa kigezo cha kuangalia majina yanayofanana na majina ya nchi jirani hali ambayo Mbunge wa Kigoma Mjini ameilalamikia Idara ya Uhamiaji kuwa si sawa na imekuwa njia ya maafisa hao wasio waaminifu kujipatia rushwa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA August 05, 2019
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • KIPINDI CHA TAMISEMI KAZINI KUJA NA MAJIBU YA UTEKELEZAJI MIRADI YA SERIKALI

    August 14, 2022
  • SERIKALI YAONYA WAVAMIZI WA ARDHI MAENEO YA TAASISI ZA DINI

    August 11, 2022
  • TUUNGE MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA MALARIA

    August 05, 2022
  • UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE, MSINGI WA KUSHUSHA KIWANGO CHA UDUMAVU

    August 01, 2022
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255738192977

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa