• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE ATATUA MGOGORO WA BODABODA DHIDI YA JESHI LA POLISI MANISPAA KIGOMA UJIJI

Posted on: January 17th, 2025

uta nikuvute iliyojitokeza baina ya Jeshi la Polisi na madereva wa pikipiki  ( Boda boda) katika Manispaa ya Kigoma Ujiji imepatiwa Mwarobaini baada ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye kukutana na kutoa maelekezo yaliyolenga kuimarisha utendaji kazi utakaozingatia Utu na Sheria kwa pande mbili hizo.

Akizungumza na madereva wa pikipiki hao kupitia Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa Kanisa la Anglican Mjini Kigoma, Mkuu huyo wa mkoa ametoa wito kwa watendaji wa Jeshi hilo kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia utu sambamba na usalama wa watu na vyombo wanavyovikamata.

Amesema baadhi ya watendaji katika jeshi hilo wamekuwa wakitumia nguvu kubwana hata kwenda kinyume cha Sheria na  miongozo ya kazi zao wanapotekekeza jukumu la kusimamia utendaji kazi wa bodaboda jambo linalozua malalamiko makubwa katika kundi hilo.

"Niwatake mtangulize utoaji wa Elimu ya usalama barabarani, kutenga maeneo maalum kwa ajili ya ukaguzi wa vyombo hivyo na kuhakikisha ukamataji wenu unakuwa wenye staha na usioweza kuleta madhara kwa waendesha pikipiki" amesisitiza Andengenye.

Aidha katika hatua nyingine, mkuu wa mkoa amewataka bodaboda katika manispaa hiyo na Mkoa kwa ujumla kuhakikisha vyombo vyao havina dosari za kiufundi na makosa ya barabarani kabla ya kuanza kuvitumia kibiashara.

"Serikali haitoweza kumvumilia mvunja Sheria ikiwemo kuendesha pikipiki bila Leseni, kuendesha vyombo vibovu na hata kutozingatia sheria nyinginezo za usalama barabarani sambamba na usafi" amesisitiza Andengenye.

"Nitoe wito kwenu kuhakikisha kila bodaboda anakuwa mlinzi wa mwenzake sambamba na kutoa taarifa mnapobaini uwepo wa jambo lisilo la kawaida katika maeneo yenu sambamba na kumtambua kila mmoja wenu kuhusu uhalali wake wa kuwa katika maeneo yenu ta kazi" amesisitiza Andengenye.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa