• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AKABIDHI GARI RUWASA KIGOMA

Posted on: November 8th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amewataka watumishi wa Umma kujenga utamaduni wa kutunza vitendea kazi wanavyotumia katika utendaji kazi wao ili viweze kudumu na kutoa huduma kwa muda mrefu kwa manufaa ya wanaowahudumia na wao wenyewe.

Andengenye ametoa kauli hiyo alipozungumza kwenye hafla fupi ya kukabidhi gari lililotolewa na Serikali kwa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Kigoma na kuusisitiza uongozi katika mamlaka za Umma mkoani hapa kuhakikisha unasimamia matumizi ya magari sambamba na kuyafanyia matengenezo kwa wakati.

Kuhusu hali ya upatikanaji wa huduma ya Maji katika maeneo ya vijijini, Mkuu huyo wa Mkoa amesema mpaka kufikia mwaka 2024 hali ya upatikanaji wa Maji imefikia Asilimi 74 ambapo kabla ya utekelezaji wa miradi hiyo unaofanywa na Serikali ya awamu ya Sita hali ya upatikanaji wa huduma hiyo ilikuwa Asilimi 54.

Amesema mpaka kufikia mwaka 2025 matarajio ni kufikia Asilimia 85, hali itakayomaliza kwa kiasi kikubwa adha ya upatikanaji wa huduma ya Maji kwa wakazi wa Mkoa wa Kigoma.

Upande wake, Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa ameahidi kushirikian na wakuu wa Taasisi za Serikali ili kuhakikisha vitendea kazi vilivyopo ikiwemo magari, yanatunzwa na kutumika kwa usahihi ili yaweze kuwarahisishia watendaji kuifikia jamii kwa lengo la kuhakikisha utooaji wa huduma bora kwa wananchi.

 Mha. Mathius Mwenda ambaye ni Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) mkoa wa Kigoma amesema nyenzo hiyo itawawezesha kuongeza kasi ya ufuatailiaji wa hali ya utoaji wa huduma zinazotolewa na RUWASA mkoani Kigoma.

Amesema kwa sasa hali ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya Halmashauri za Wilaya mkoani Kigoma inaridhisha kufuatia maboresho makubwa yanayoendelea kufanywa na serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa