• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AHIMIZA WAAKZI KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: October 17th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amejiandikisha katika Daftari la mkazi la wapigakura katika Mtaa wa Shede, Kata ya Kigoma katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kigoma na kutoa wito kwa wakazi mkoani hapa kujitokeza na kujiandikisha ili waweze kushiriki kwenye Uchaguzi wa Serikali  za Mitaa ifikapo Novemba 27, 2024.

Akizungumza mara baada ya kushiriki zoezi hilo, Mhe. Andengenye amesema ni muhimu kwa wakazi kujiandikisha na kuchagua viongozi wanaowataka ambao pia watasaidia kusimamia utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita mkoani Kigoma chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Amesisitiza kuwa, Uchaguzi wa Viongozi katika ngazi ya Kijiji na Mtaa ndicho chanzo na msingi wa Demokrasia nchini , hivyo kutojiandikisha ili kushiriki kupiga kura ni kujinyima haki hiyo muhimu ya kupata kiongozi ambaye atatokana na maamuzi ya wananchi wenyewe.

Aidha Andengenye ametoa wito kwa wakazi mkoani hapa kuendelea kujitokeza kujiandikisha  na kuchagua kiongozi atakayeendana na matakwa yao ili kuepuka malalamiko ya kuongozwa na kiongozi ambaye hajatokana na maamuzi yao.

Upande wake Zainab Omary Mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji amesema ameshiriki zoezi hilo ili kupata kiongozi ambaye atatokana na maamuzi yake sambaba na kupata haki yake ya kidemkrasia kuendana na Sheria na taratibu za nchi.

Naye Zakaria Philimoni ambaye ni Msimamizi msaidizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kituo cha Meti, Manispaa ya Kigoma Ujiji amesema zoezi hilo linaendelea vizuri huku akitoa wito kwa wakazi kuendelea kujitokeza kwani zoezi  halina usumbufu wowote kutokana na serikali kuandaa idadi ya vituo vya kutosha kwa ajili ya wananchi kujiandikisha.

Zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wakazi linaendelea mkoani hapa huku likitarajiwa kufikia tamati ifikapo Oktoba20,2024.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa