• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AFUNGUA MIKUTANO YA MABARAZA MAALUM (CAG) HALMASHAURI ZA KASULU TC NA DC

Posted on: June 14th, 2023

Katika kuhakikisha Halmashauri mkoani hapa  zinapata ufumbuzi wa kudumu dhidi ya hoja mbalimbali za Ukaguzi wa Hesabu za Serikali zinazojitokeza na ambazo zinaweza kuepukika, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye ameuagiza Uongozi katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuboresha Mfumo wa utunzaji wa nyaraka zikiwemo Hati za malipo ya Fedha ili kurahisisha upatikanaji wake pale zinapohitajika kwa ajili ya kujibu hoja hizo.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amewaelekeza wakuu wa Vitengo vya Fedha na Biashara pamoja na Ugavi kutoa ushirkiano wa karibu kwa wakaguzi wa ndani katika Halmashauri ili kubaini Hoja hizo mapema na kuzitafuatia Ufumbuzi kwa pamoja.

Juni 13, 2023 Mkuu wa Mkoa amefungua na kushiriki Mikutano ya Mabaraza Maalum ya kupokea na kujadili Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 katika Halmashauri ya Mji na Wilaya Kasulu.

Kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 Halmashauri hizo  zimefanikiwa kupata  Hati  Safi ya Ukaguzi wa Hesabu.

MKUU WA MKOA WA KIGOMA MHE. THOBIAS ANDNGENYE AKIZUNGUMZA NA WAH. MADIWANI KATIKA MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWANI(CAG) KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA KASULU JUNI 13, 2023 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI YA MJI WA KASULU.

KATIBU TAWALA  WA MKOA WA  KIGOMA MHE. ALBERT MSOVELA AKIZUNGUMZA NA WAH. MADIWANI (HAWAPO PICHANI) KWENYE MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWANI (CAG) KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA KASULU JUNI 13, 2023

MKUU WA MKOA WA KIGOMA (KULIA) AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA KATIBU TAWALA MKOA ALBERT MSOVELA, WAKIFUATILIA TAARIFA YA MKAGUZI NA MDHIBITI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA HALMASHAURI YAMJI  KASULU KWA MWAKA 2021/2022




Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa