• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AFUNGA MAFUNZO OP MIAKA 60 JKT 825 KJ-MTABILA

Posted on: May 3rd, 2024

Wahitimu wa Mafunzo ya Awali ya kijeshi ya vijana wa kujitolea Oparesheni miaka 60 ya  Jeshi la Kujenga kundi la Saba (7) 2023/2024 825 KJ-Mtabila wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya Teknolojia ikiwemo kutumia mitandao ya kijamii kwa malengo ya kujifunza masuala yatakayokuwa na Tija katika maisha yao ikiwemo kujiimarisha kitaaluma na kiuchumi.

Ushauri huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye alipozungumza na wahitimu hao, alipokuwa akifunga mafunzo hayo kwenye hafla iliyofanyika katika Kambi ya 825KJ-Mtabila iliyopo wilayani Kasulu mkoani hapa.

Amesema matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii yamesababisha baadhi ya watu hususani vijana  kujihusisha na mambo yaliyo kinyume na maadili yanayoendana na mila na Desturi za kiafrika.

Andengenye ameupongeza na kuushukuru uongozi wa JKT kwa usimamizi mzuri wa vijana hao mpaka kufikia kuhitimu mafunzo hayo wakiwa wenye sifa na weledi katika  kutekeleza jukumu la ujenzi na ulinzi wa Taifa.

''Niwasihi nendeni mkautumie ujuzi mlioupata katika kuzilinda Afya zenu, kujihusisha na shughuli za liuchumi kupitia ujasiriamali ili kuhakikisha mnachangia pato la Taifa sambamba na kutekeleza jukumu la utunzaji wa Mazinngira'' amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

Aidha mkuu huyo wa mkoa amewataka wahitimu hao kuendelea kufanya  kazi kwa bidii kwa kutumia ujuzi walioupata kujiajiri wakati wakisubiri fursa za ajira huku akiwakumbusha kuwa nchi ina fursa mbalimbali za kujitafutia kipato iwapo watajiamini na kutumia maarifa waliyonayo.

Akimwakilisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Hawa Kodi ambaye ni Mkuu wa Tawi la Ugavi na Uhandisi JWTZ ametoa wito kwa wahitimu hao kuyaishi maisha yatakayosadifu mafunzo waliyoyapata.

Aidha Jenerali Kodi amewataka wahitimu hao wakawe chachu katika kuhamasisha vijana wengine wenye sifa kujiunga na JKT ili waweze kupata Stadi mbalimbali za maisha zitakazowawezesha kujiajiri na kujipatia kipato.

Upande wake Brig. Jen. Hassan Mabena amesema kiapo cha Utii walichoapa vijana hao ni ishara tosha ya Taifa kuendelea kuwa salama kutokana na kuwa na vijana wengi wenye mafunzo na utayari katika kulinda Amani ya nchi.

Amesema lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo katika ujasiriamali na kuwapa maarifa na stadi za maisha zitakazowafanya waweze kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa