• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AALIKA WAWEKEZAJI KATIKA ENEO LA UWEKEZAJI KIGOMA

Posted on: November 15th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema Serikali mkoani hapa itaendelea kuweka Mazingira bora na rafiki kwa ajili ya kuzidi kuvutia wawekezaji kwa lengo la kuzalisha  fursa za ajira na kuinua uchumi  wa wakazi na Taifa kwa ujumla.

Andengenye ametoa kauli hiyo alipotembelea na kukagua eneo Maalum la uwekezaji mkoani Kigoma (KiSEZ) na kuwataka waliopata fursa za ajira kupitia uwekezaji unaofanyika katika eneo hilo kufanya kazi kwa bidi na uaminifu ili kuwafanya wawekezaji kupata matokeo chanya  kupitia uwekezaji wanalioufanya na kutoa fursa kwa wafanyakazi kupata ajira kwa muda mrefu.

Amesema iwapo watendaji hao watakuwa waaminifu na kuzalisha kwa ubora na kiwango kilichowekwa, hali hiyo itawavutia wawekezaji wengine sambamba na wale waliopo kutanua shughuli zao kutokana na kupata matokeo chanya kupitia uwekezaji wanaoufanya.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amewaalika wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kutumia fursa ya kuwekeza katika eneo hilo ambalo serikali ya mkoa imekwisha liwekea miundombinu ya Umeme, Maji na Barabara ili kulifanya kufikika na kurahisisha michakato ya uchukuzi.

Amesisitiza kuwa, suala la uwekezaji hususani kwenye viwanda vya kuzalisha vifaa vya ujenzi litapunguza kwa kiasi kikubwa gharama za manunuzi ya vifaa hvyo kwa wakazi wa mkoa wa Kigoma pamoja na mikoa na nchi jirani

Eneo la uwekezaji la KiSEZ lina ukubwa wa Hekta 691 likiwa na viwanja vilivyopimwa zaidi ya 400, ambapo linamilikiwa kwa pamoja na Manispaa ya Kigoma Ujiji pamoja na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ambapo mpaka kufikia Novemba 2024 jumla ya wawekezaji 10 tayarai wanaendesha shughuli zao ikiwemo uzalishaji pamoja na ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya viwanda vya kuzalisha bidhaa mbalimbali.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa