• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

RC ANDENGENYE AAHIDI KUENDELEZA USHIRIKIANO NA SHIRIKA LA IOM

Posted on: September 23rd, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye(Kulia) akifafanua Jambo mbele ya Mkuu wa Misheni wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) Maurizio Busatti pamoja na Ujumbe alioongozana nao.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Thobias Andengenye akiwa katika Picha ya pamoja na Maurizio Busatti (watatu kutoka kulia) pamoja na Baadhi ya watumishi wa Shirika la IOM.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye akwa katika picha ya Pamoja na Maurizio Busatti mara baada ya mazungumzo baina yao yaliyofanyika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo Tarehe 23 Septemba 2022.

Mkuu wa Misheni wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) Maurizio Busatti Leo Tarehe 23, Septemba 2022, amemtembelea Mkuu wa Mkoa wa Kigoma CGF(Mst) Thobias Andengenye Ofisini kwake ambapo wawili hao wamekubaliana kuendelea kuimarisha ushirikiano katika Nyanja zinazozigusa Taasisi zao ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.

Mkuu huyo wa Misheni, amemhakikishia Mkuu wa Mkoa kuwa, Shirika hilo litaendelea kutoa Ushirikiano kwa Serikali  katika kuwahudumia wakimbizi waliopo nchini pamoja na kutoa misaada katika nyanja za Elimu na Afya kwa Jamii inayozunguuka Kambi za wakimbizi mkoani hapa.

Naye Mkuu wa Mkoa , amemshukuru Mkuu huyo wa Misheni wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji kwa kufika mkoani hapa ikiwa ni sehemu muhimu kwake kujionea hali halisi ya utendaji wa Shirika hilo lisilo la kiserikali na kuahidi kuendelea kumpa ushirikianopale itakapohitakika kufanya hivyo.

''Shughuli mnazozifanya kwa Jamii yetu mkoani hapa  zinatupa Ari na shauku ya kuendelea kushirikiana nanyi kwa maslahi ya mapana ya wananchi ambapo huduma zenu zimendelea kuwaimarisha katikakuboresha maisha yao na  ujenzi wa Taifa kwa ujumla'' alisema Andengenye.

Aidha aliishikuru Taasisi hiyo isiyo ya kiserikali kwa misaada wanayoendelea kuitoa kwa jamii inayozunguuka Kambi hizo ikiwemo ile ya kielimu na Afya.

Mkoa wa Kigoma una Jumla ya Kambi mbili za wakimbizi ambazo ni Kambi ya Nyarugusu  iliyopo wilayani Kasulu yenye wakimbizi kutoka nchi za Burundi na Congo pamoja na Kambi ya Nduta katika wilaya ya Kibondo yenye wakimbizi kutoka nchi ya Burundi pekee.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa