• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

OPERESHENI ONDOA MIFUGO KUTOKA NJE YA NCHI KUFANYIKA MIKOA 12 KWA SIKU 15 NCHINI

Posted on: October 27th, 2017

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetangaza kufanya operesheni kabambe ya siku 15 ya kuondoa mifugo yote inayotoka nchi za jirani katika mikoa 12 iliyopo mipakani hapa nchini.

Akizungumza katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Waziri mwenye dhamana na mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina(MB) amesema wizara yake imejipanga kuondoa mifugo yote ambayo si ya nchi hii ndani ya siku 15 ambapo yeye pamoja na Msaidizi wan a Katibu Mkuu wamegawana kusimamia zoezi ilo kwa siku 15.

Ametaja mikoa itakaofikwa na zoezi hilo ni Kigoma, Kagera, Katavi, Kilimanjaro, Arusha na Mara, mikoa mingine ni pamoja na Songwe, Njombe, mbeya

Mhe. Mpina amesema asilimia 30 ya malisho ya Mifugo hapa Tanzania yanatumiwa na mifugo ya wafugaji toka nje ya nchi, jambo linalofanya wafugaji wa ndani kukosa malisho na ardhi ya kulima na hivyo kusababisha migogoro mingi kati ya wafugaji na wakaulima

Sambamba na kuzuia migogoro inayosababishwa na mifugo hiyo amesema kuwa wizara itaweza kudhibiti magonjwa ya mifugo yanayoweza kusababishwa na mifugo inayoingizwa nchinikutoka nchijirani kwa kufuata malisho.

“udhibiti wa mifugo utasaidia pia kuepukahasara kwa serikali na wafugaji wetu kupteza mifugo yao sababu ya magonjwa, na uchafuzi wa mazingira, zoezi hili ni kwa mujibu wa sharia ya Mifugo Na. 17 ya mwaka 2013.

Imeelezwa kuwa hatua kali itachukuliwa kwa mifugo hiyo ikipatikana ikiwemo faini au kutaifishwa kwa mifugo, amewataka watu walioingiza mifugo nchini kinyemela kuiondoa maramoja kabla ya kupatwa na dhahama hiyo.

Ameagiza kuwa baada ya siku 15 za operesheni kila Mkoa utahakikisha kutoa taarifa za uthibitisho wa kutoingia Mifugo tena kutoka nchi jirani. Aidha, Mhe. Mpina ameagiza Mikoa yote kukamilisha zoezi la upigaji chapa mifugo kukamilika ifikapo tarehe 30 Desemba, 2017

Aye Mkuu wa Mkoa amemhakikishia Waziri kuwa Mkoa upo taari kuhakikisha zoezi la kuondoa mifugo kutoka nje linafannikiwa kwani kumekuwepo na kero ya uingizwaji wa mifugo kutoka Burundi na Rwanda Mkoani humo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa