• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

''ONGEZEKO LA MIRADI YA MAENDELEO LIENDANE NA KUKUA KWA UCHUMI'' RAIS. SAMIA

Posted on: October 18th, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo unaofanywa mkoani Kigoma  unapaswa kwenda sambamba na ukusanyaji wa mapato  ili kukuza uchumi  wa Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Kauli hiyo imetolewa na Rais Samia, wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma waliojitokeza katika uwanja wa Lake Tanganyika, mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya Siku Tatu mkoani hapa.

‘’Kukamilika kwa Miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Barabara ya Kabingo hadi Manyovu itakayounganisha mkoa na Nchi ya Burundi, kunapaswa kuendana na ongezeko la ukusanyaji wa mapato na kukuza uili kuchochea mabadiliko ya kimaendeleo mkoani hapa’’amesema.

‘’Ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya usafirshaji, upatikanaji wa Umeme wa uhakika, vitumike katika kuimarisha uchumi wa wanakigoma na watanzania kwa ujumla’’amesema Mhe. Rais Samia.

Kupitia ziara yake hiyo, Mhe. Rais, sambamba na kuongea na wananchi katika meneo aliyopita, ameweka mawe ya Msingi katika Miradi ya Barabara Manyovu hadi Kabingo/Kakonko, Barabara ya Kibondo-Nduta,  Bandari ndogo ya Kibirizi pamoja na Hospitali ya Rufaa ya Maweni-Kigoma.

Aidha Mhe. Rais amefungua Hospitali ya wilaya ya Kakonko, Mradi wa Maji Kinyamfisi uliopo Kakonko Mjini, Barabara ya Kabingo-Nyakanazi, Chuo cha Ualimu Kasulu pamoja na Ofisi ya Mkuu wa wilaya Buhigwe.

Pia Mhe. Rais, amezindua mradi wa Umeme wa gridi ya Taifa wa Megawati 20 na kuzima majenereta ambayo hapo awali yalikua yakizalisha kiasi cha Megawati 14 kwa Mkoa Mzima.

Rais samia amehitimisha ziara yake mkoani Kigoma siku ya Leo Tarehe 18 Oktoba 2022.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa