• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

NCHIMBI AENDELEA NA ZIARA YAKE WILAYANI KASULU

Posted on: August 6th, 2024

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemuelekeza Waziri wa Nishati kufuatilia na kushughulikia changamoto ya kukatika kwa Umeme mara kwa mara wilayani Kasulu na kuitafutia ufumbuzi wa haraka ili uhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo kwa uhakika na kuruhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo.

Maelekezo hayo ameyatoa alipozungumza na wakazi wa wilaya ya Kasulu akiwa katika ziara yake ya Siku tatu mkoani hapa akiambatana na wajumbe wa Sekretariet ya CCM Taifa kwa lengo la kuhuisha uhai wa chama, kusikiliza na kutatua kero za wananchi amoja na kuhamasisha wakazi kushiriki uchaguzi na kuchagua viongozi bora wakati wa zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Amesema Rais Dkt. Samia amedhamiria kuufungua mkoa wa Kigoma na tayari ameshatoa zaidi ya Shilingi Tril.11 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimba ya Maendeleo ili kuufanya mkoa kuwa Ukanda wa kibiashara na uwekezaji.

‘’Kuna hatua kubwa za kimaendeleo za kujivunia mkoani hapa ikiwemo ujenzi wa barabara za kuunganisha mkoa na mikoa jirani kwa kiwango cha lami, upanuzi wa uwanja wa ndege, ukarabati wa Meli, miradi ya Maji, Elimu pamoja na mkoa kuunganishwa na Gridi ya Taifa, hizi zote ni kazi nzuri zilizofanywa na CCM’’ amesisitiza Nchimbi.

Akitolea ufafanuzi kuhusu changamoto iliyowasilishwa na Mbunge wa Jimbo la Kasulu mjini Prof. Joyce Ndalichako ya kutokamilika kwa miundombinu katika kituo cha Afya cha Mwami Ntare kilichopo wilayani humo, Dkt. Nchimbi amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI kufuatilia na kuwaagiza watendaji walio chini yake kutoa kiasi cha Shilingi Mil.200  kwa ajili ya kukamilisha kituo hicho na kuruhusu utoaji wa huduma.

 Aidha amemuelekeza waziri wa Wizara hiyo kufuatilia na kuhakikisha unapatikana ufumbuzi kuhusu changamoto inayosababisha Kata ya Kagerankanda kutokuwa na diwani ili upatikane ufumbuzi na kata hiyo iweze kuwa na uongozi wake


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa