• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MWENGE WA UHURU WAANZA MBIO ZAKE MKOANI KIGOMA

Posted on: August 16th, 2023

MKUU WA MKOA WA KAGERA MHE. FATMA MWASSA AKIMKABIDHI MWENGE WA UHURU MKUU WA MKOA WA KIGOMA KAMISHNA JENERALI MSTAAFU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MHE. THOBIAS ANDENGENYE. MAPOKEZI HAYO YAMEFANYIKA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO LEO AGOSTI 16, 2023.

MKUU WA MKOA WA KIGOMA KAMISHNA JENERALI MSTAAFU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MHE. THOBIAS ANDENGENYE(KULIA) AKIMKABIDHI MWENGE WA UHURU MKUU WA WILAYA YA KAKONKO KANALI MICHAEL MASALA  KWA AJILI YA KUANZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA YA KAKONKO.

Mwenge wa Uhuru umeanza Mbio zake Mkoani Kigoma Leo Agosti 16,2023 ukitokea Mkoani Kagera, ambapo ukiwa mkoani hapa utatembelea, kukagua pamoja na kuweka mawe ya Msingi kwenye Miradi mbalimbali yenye  Thamani ya zaidi ya Shilingi Bil.18.3 katika Halmashauri nane za Mkoa.

Awali akipokea Mwenge huo katika Wilaya ya Kakonko, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amesema Miradi 21 inatarajia kuzinduliwa, mitatu kufunguliwa, 19 kuwekewa mawe ya Msingi pamoja na kutembelea miradi 21 huku mingine  miwili ikiwa ni ugawaji wa vyombo vya usafiri pamoja na vyakula kwa waathirika wa Virusi vya UKIMWI.

Andengenye amesema miradi hiyo itazihusu Sekta za Huduma za Jamii, Ujenzi wa majengo ya Serikali pamoja na Miundombinu ya Barabara, Kilimo, Uhifadhi wa Mazingira pamoja na uwezeshaji kiuchumi kwa vikundi vya Vijana, wanawake na watoto.

Ameendelea kusisitiza kuwa, Mwenge wa Uhuru ni kichocheo  muhimu cha Maendeleo nchini na umeendelea kuwa nguzo munimu katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya watanzania kwa kudumisha uwazi, umoja na mshikamano.

Aidha kiongozi huyo wa Mkoa amewataka wasimamizi wa miradikutanguliza uzalendo ili kuhakikisha miradi hiyo inafanyika kwa kiwango bora na kudumu kwa muda mrefu.

Akikagua mradi wa Ujenzi wa Jengo la Nyumba ya Makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kwa Mwaka 2023 Abdallah Kaim, ameonyesha kuridhishwa na utekelezaji wa Miradi ya Ujenzi huku akisisitiza wasimamizi kuzingatia michoro na viwango vinavyopendekezwa na Serikali katika ujenzi wa miradi.

Amesema kazi zote zinazotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita zimelenga kuboresha maisha ya wananchi hivyo Serikali haitosita kuchukua hatua kali kwa yeyote atakayeonesha utendaji usioridhisha.

Mwenge wa Uhuru umekagua na kuridhishwa na miradi yote ya Maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko pia kiongozi wa mbio hizo amesisitiza kutekelezwa haraka kwa maelekezo aliyoyatoa kwa watendaji kwa lengo la kuondoa dosari ndogo zilizojitokeza katika baadhi ya miradi.

PICHA ZA BAADHI YA MIRADI ILIYOTEMBELEWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU  WILAYANI KAKONKO.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa