• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MSOVELA ASISITIZA USHIRIKIANO KAZINI KULETA MATOKEO CHANYA

Posted on: December 15th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Albert Msovela amewataka wakuu wa Idara na Vitengo katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kushrikiana na wafanayakazi walio chini ya idara zao kiutendaji ili  kupata matokeo chanya katika kazi wanazozifanya za Utumishi wa Umma.

Msovela ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) uliofanyika Leo Desemba 15, 2022 katika Ukumbi wa NSSF, uliopo katika Halmashauri ya Manispaa Kigoma/Ujiji, ukiwa ni Mkutano wa pili wa Mwaka.

Amesema wakuu wa Idara na Vitengo wanapaswa kuwajengea uwezo watumishi walio chini yao ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa weledi, kasi na kiwango kinachotakiwa kuendana na mipango na malengo yaliyowekwa na Serikali yanayohitaji kuhitaji kufikiwa kiutendaji.

‘‘Kumekuwa na changamoto kubwa ya watumishi kukosa mahusiano mazuri na wakuu wao wa kazi  huku wengine wakitekeleza majukumu bila kuwa na mipango kazi au kufanya kazi  kwa kutumia uzoefu bila kuzingatia miongozo ya kazi hizo’’

Ameendelea kusisitiza kuwa, wakuu wa Idara na vitengo wanatakiwa kuendelea kuwa karibu na watumishi walio chini yao ili kuimarisha utendaji kazi na kuondoa migogoro ambayo inaweza kutatulika na kupafanya kazini kuwa sehemu yenye umoja na kusikilizana hali itakayoongeza ari ya utendaji kazi.

Aidha kupitia kikao hicho, wajumbe wamejadili utekelezaji wa Maazimio ya kikao kilichopita cha Tarehe 28 Januari 2022, kupokea na kujadili taarifa ya utoaji wa Huduma za Afya kimkoa,  Shyghuli zilizotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini, kazi zilizofanywa na Shirika la kidini  la CARITAS-Kigoma,  kwa Kipindi cha Julai hadi Oktoba 2022.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Mkuu wa Mkoa, baadhi ya Wah. Wabunge wa Mkoa wa Kigoma, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala, Wakurugenzi, Kamati ya Usalama Mkoa, Viongozi wa Dini na vyama vya Siasa, Wataalam kutoka Taasisi za  Umma na Mashirika mbalimbali, Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa pamoja na wazee Maarufu.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa