• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MSOVELA AHIMIZA HALMASHAURI KUZINGATIA TARATIBU ZA MANUNUZ IILI KUPUNGUZA HOJA ZA UKAGUZI

Posted on: June 8th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Albert Msovela amewakumbusha watumishi wa Umma katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuzingatia kanuni na taratibu za manunuzi Serikalini ili kuepuka kusababisha Hoja za Ukaguzi wa Hesabu za Serikali zinazoweza kuepukika.

Msovela ametoa wito huo Leo Juni 8, 2023 alipomuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani wa wilaya ya Uvinza lililoketi kwa lengo la kupokea na kupitia Taarifa ya Majibu ya Hoja, Utekelezaji pamoja  Mapendekezo ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka 2021/2022.

Amesema Serikali imeweka Kanuni na Taratibu za Manunuzi ili kuhakikisha kunakuwepo na ukweli na uwazi katika matumizi ya Fedha za Umma, hivyo wanaosimamia na kutekeleza  jukumu hilo katika Halmashauri, wanatakiwa kulisimamia kwa dhati ili kuzuia uwezekano wa kuibuka kwa hoja za kiukaguzi ambazo kimsingi zinaweza kuepukwa.

Aidha Katibu tawala ameziagiza Menejiment katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuimarisha usimamizi wa makusanyo, matumizi ya masurufu pamoja na michakato yote Manunuzi ili kudhibiti kuibuka kwa hoja za ukaguzi ambazo zimekuwa zikijirudia mara kwa mara.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Dinah Mathamani amesema ataendelea kushirikiana na wataalam  ili kuhakikisha hoja zilizobainika zinapatiwa ufumbuzi wa haraka na kuhakikisha Halmashauri ya Uvinza inaendelea kupata Hati Safi katika kila zoezi la Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.

Mathamani ameahidi kuweka utaratibu wa kukutana  mara kwa mara na watendaji kwa lengo la kubaini, kujadili na kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali zilizobainishwa  kwenye taarifa ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.

Kwa Mwaka wa Fedha 2021/2022 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza ilipata hati Safi ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa