• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MRADI WA HEWA YA UKAA MBIONI KUANZA KIGOMA

Posted on: September 6th, 2023



M

MKUU WA MKOA WA KIGOMA AKIFAFANUA JAMBO HUKU AKISILIZWA NA WADAU WA MAENDELEO KUTOKA  TAASISI YA DANISH REFUGEE COUNCIL (DRC) WALIPOFIKA OFISINI KWAKE KWA AJILI YA KUSALIMIA KISHA KUTOA TAARIFA YA MPANGO WA UTEKELEZAJI MRADI WA HEWA YA UKAA MKOANI HAPA LEO SEPTEMBA 6, 2023.

Serikali mkoani Kigoma imeahidi kuendelea kushirikiana na wadau  mbalimbali wa Maendeleo  ili kukabiliana uharibifu wa Mazingira na Athari zake.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye alipokutana na Ujumbe kutoka Shirika  lisilo la kiserikali la Danish Refugee Council (DRC) kwa ajili ya kupokea Taarifa ya mpango wa jumla wa utekelezaji Mradi wa hewa Ukaa mkoani Kigoma.

Amesema katika maeneo wanayoishi wakimbizi, kumekuwa na Athari kubwa za kimazingira iliyosababishwa na ukataji  holela wa miti kwa ajili ya kuni  na Mkaa ili kupata nishati ya kupikia.

Amesisitiza kuwa, Mkoa upo tayari kuunga mkono utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimazingira ikiwemo upandaji wa miti, utoaji Elimu ya uhifadhi wa Mazingira pamoja na k uzalisha na kuhamasisha matumizi ya nishati mbadala.

Mkurugenzi mtedaji wa Taasisi ya DRC, Alfred Magehema amesema, Taasisi yake kwa kushirikiana na Kampuni ya Orsted ya nchini Denmark, wanatarajia kuanza kufanya utekelezaji wa Mradi wa Hewa Ukaa katika Wilaya za Kakonko, Kibondo na Kasulu ifikapo mwaka 2024.

Ameeleza kuwa, lengo la Taasisi yake ni kuhudumia wakimbizi pamoja na Jamii ya wakazi wenyeji inayoishi jirani na Kambi za wakimbizi  kwa kutekeleza miradi ya kuboresha Maisha, Uhifadhi wa Mazingira pamoja na uzalishaji nishati mbadala ya kupikia.

Magehema amefafanua kuwa Taasisi ya DRC  inaendelea kutekeleza kazi mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha shughuli za Kilimo, kutoa mafunzo ya ufundi Stadi na mikopo kwa wanawake na vijana, kutoa huduma za kisheria, ulinzi wa mtoto pamoja na uwezeshaji kiuchumi kwa watu wenye mahitaji maalum.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa