• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

Posted on: June 21st, 2025

Awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Mwandiga, Chankere, Mwamgongo, Kagunga katika Halmashauri ya Kigoma, mkoani Kigoma kipande chenye urefu wa Km. 20 umefikia asilimia 95 na tayari imeanza kutumika na kuwaondolea kero ya usafiri wakazi katika maeneo hayo ambapo awali usafiri pekee uliokuwa ukitumika kuyafikia maeneo hayo kutoka mjini Kigoma ni ule wa njia ya Maji katika Ziwa Tanganyika.

Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Kanali. Michael Ngayalina ametoa wito kwa wakazi katika maeneo hayo kutumia fursa ya ujenzi wa barabara hiyo kwa ajili ya kujiimarisha kiuchumi kwa kusafirisha bidhaa mbalimbali za kilimo na uvuvi ili kuyafikia masoko kwa haraka.

Amesema barabara hiyo ya kwanza kujengwa tangu nchi kupata Uhuru, imekuwa chachu kubwa ya kuimarisha utoaji wa huduma sambamba na kuwaondolea adha ya usafiri ambapo kwa sasa badala ya kutembea kwa miguu na kutumia njia za maji, wakazi watatumia magari na pikipiki.

Kaimu Meneja wa TANROADS Mkoa wa Kigoma Mha. Mwita Joram amesema  Mradi unatekelezwa kupitia ufadhili wa Mfuko wa Barabara (Road Funds) kwa Thamani ya Shilingi Bil.3 ambapo ujenzi wake ulianza Desemba 14, 2024 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Desemba 2025.

Fausta Athanasi Mkazi wa Kijiji cha Mwamgongo amesema awali wakina mama wengi walikuwa wakijifungulia nyumbani kutokana na changamoto ya ukosefu wa barabara.

Aziz Segeje mkazi wa kitongoji cha Mgazo katika kijiji cha Mwamgongo amesema  mara baada ya kukamilika kwa miundombinu hiyo, wakazi wanasafiri na kusafirisha biashara zao kwa wepesi na gharama nafuu hususani kwa kutumia usafiri wa pikipiki badala ya kutegemea usafiri wa njia ya maji pekee.

Amesema ujenzi huo wa barabara umeweza kuwaondolea kero ya kusafirisha wagonjwa kwa kutumia machela ili kuwafikisha kwenye vituo jirani vya kutolea huduma za Afya.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa