• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

Posted on: August 18th, 2025

Na. Clinton Justin-KIGOMA

Mradi wa Afya Hatua unaotekelezwa na Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na UKIMWI (PEPFAR), kupitia Kituo cha Kuthibiti na kuzuia Magonjwa Marekani (CDC), umetajwa kuwa ni miongoni mwa suluhisho  muhimu  katika kukabiliana na Virusi vya Ugonjwa wa UKIMWI Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani hapa.

Mratibu wa Huduma za Afya ngazi ya Jamii  kutoka Shirika lisilo  la kiserikali Tanzania Health Protection Support (THPS) wilaya ya Kigoma mjini , Yethero Mgale amesema, mradi huo umekuwa chachu katika kuhamasisha ufuasi wa dawa za kufubaza maradhi ya UKIMWI huku akitoa wito kwa jamii kujitokeza kwa wingi kupata huduma za dawa kinga.

“Tunaomba jamii ijitokeze kwa wingi kupata huduma hizi, malengo yetu ni kuhakikisha  kwamba ifikapo mwaka 2030 ,tunatokomeza kabisa maambukizi mapya ya VVU ” ,Amesema  Yethero.

Mnufaika na mtumiaji wa dawa kinga  aina ya Post Exposure Prophylaxis (PEP),  Bi. Hadija Issa ambaye ni mkazi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji , amewashauri wanawake wanaoishi mazingira hatarishi ambayo ni vyepesi kupata maradhi hayo, kujenga tabia ya kutumia dawa kinga  kwa ajili ya kujijengea usalama wao dhidi ya maambukizi wa virusi vya UKIMWI .

 “Wanawake wenzangu muwe na ujasiri wakutumia dawa hizi kwa ajiri ya kujikinga na maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ’’.amesema Hadija

Kupitia mradi wa Afya Hatua chini ya Shirika la (THPS), Jamii katika halmashauri hiyo  zinaendelea kuhamasishwa kuhusu umuhimu wa dawa  kinga ,upimaji wa afya na matumizi ya huduma zinazosaidia kupunguza kasi ya maaambukizi , hatuaambayo ni  muhimu kuelekea jamii yenye afya bora na isiyo na unyanyapaa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • UJENZI KITUO CHA AFYA MAKERE WAFIKIA ASILIMIA 70

    August 27, 2025
  • UJENZI KITUO CHA AFYA RUKOMA KUWAONDOLEA ADHA WAKAZI KUFUATA HUDUMA ZA AFYA ZAIDI YA KM 10

    August 25, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • MRADI WA AFYA HATUA KUONGEZA KASI MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

    August 18, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa