• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MMADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO TANGANYIKA NA ZANZIBAR YAFANYIKA KIMKOA MJI KASULU

Posted on: April 26th, 2024

MKUU WA MKOA WA KIGOMA CGF(Rtd) THOBIAS ANDENGENYE AKIWASALIMIA WANAKIGOMA WALIOJITOKEZA KATIKA UWANJA WA UMOJA KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA KASULU KABLA YA KUWAHUTUBIA IKIWA NI KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR KIMKOA.KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA HASSAN RUGWA AKIZUNGUMZA NA WANAKIGOMA WALIOJITOKEZA KUSHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO KATIKA UWANJA WA UMOJA MJINI KASULU.BAADHI YA WATENDAJI WA SERIKALI WALIOJITOKEZA NA KUSHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO HAYO MJINI KASULU LEO TAREHE 26, APRILI 2026.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amesema Maendeleo yaliyofikiwa na Taifa la Tanzania yametokana na msingi wa Umoja, Amani na Mshikamano uliojengwa na waasisi wa Taifa.

Amesema kuimarika kwa Uchumi wa nchi kunatokana na Mazingira bora pamoja na mahusiano mazuri yaliyowekwa na viongozi hao kunasababisha kuendelea kushuhudiwa kwa uboreshwaji mkubwa wa miundombinu ya kutolea huduma za Jamii ikiwemo Afya, Maji, Umeme, Nishati ya Umeme, uwezeshaji kiuchumi pamoja na kuimarisha Mazingira wezeshi ya uwekezaji ndani nan je ya nchi.

‘’Wanakigoma leo wanashuhudia  upatikanaji wa uhakika wa huduma za maji, umeme, uwepo miundombinu ya kitaaluma, kuboreshwa kwa miundombinu ya usafiri na usafirishaji, yote haya yakiwa ni matunda ya mshikamano unaotokana na Muungano wetu’’ amesema.

Ameendelea kusisitiza kuwa, kila mwananchi anapaswa kuulinda muungano na kuudumisha ili kuliweka Taifa katika hali ya Amani na utulivu jambo litakalotoa fursa kwa wananchi kujikita katika utendaji kazi na kuimarisha uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Tumeshuhudia Amani, utulivu pamoja na usalama  ndani ya nchi yetu huku serikali zote mbili zikiendelea kujiendesha kwa uwazi chini ya misingi ya kisheria, demokrasia, utawala bora kutokana na wananchi kuwa na uelewa mzuri kuhusu dhana ya uwajibikaji na kujengeana heshima kwa ngazi na rika zote.

Upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amesema mkoa umeendelea kushuhudia matunda ya Muungano ikiiwa ni pamoja na maendeleo makubwa katika Sekta mbalimbali ikiwemo  maboresho  katika sekta za utoaji wa Huduma za Jamii.

Aidha amewashukuru wakazi wa mkoa wa Kigoma jitihada mbalimbali wanazozifanya kwa lengo la kujiimarisha kiuchumi na kujiletea maendeleo.

Naye Mkazi wa Mji wa Kasulu Ambaye pia ni Chifu wa Kimila Alfredy Kimenyi amesema ni jukumu la Wazazi kuwaelimisha na kuwarithisha watoto wao misingi ya Muungano ili kulifanya Taifa lizidi kuwa Imara na lenye maendeleo makubwa katika miaka ijayo huku likiendelea kuwa lenye Amani na utulivu.

Maadhimisho ya Miaka sitini ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kimkoa yamefanyika katika Uwanja wa Umoja uliopo katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu na kuhudhuriwa na Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Mhe. Hassan Rugwa, Wajumbe wa Kamati ya Usalama Mkoa, wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa wilaya, wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, wakuu wa Taasisi za Umma, Viongozi wa Vyama vya Siasa pamoja na viongozi wa Dini.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa