• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ahimiza uwekezaji katika viwanda vidogovidogo.

Posted on: June 20th, 2017

Sekta binafsi na Sekta ya Umma Mkoani Kigoma zimetakiwa kushirikiana katika kutengeneza mazingira bora ya kibiashara na kuvutia wawekezaji wa ndani na nje. Akizungumza katika Mafunzo ya siku mbili ya Majadiliano ya pamoja kati ya Sekta binafsi na sekta ya Umma, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali (mst.) Emanuel Maganga alisema, ili kuwepo na mazingira mazuri ya kibiashara, kunahitajika mashirikiano ya karibu kwa wadau mbalimbali hususan sekta binafsi na sekta ya umma ili kuangalia namna gani ya kuimarisha mazingira rafiki kwa biashara na kuvutia wawekezaji wa nje na ndani.

aliongeza kuwa kuna sababu nyingi za kifursa Mkoani Kigoma ikiwemo hali ya hewa nzuri, jiografia yenye fursa, madini, utalii, ardhi yenye rutuba na Ziwa Tanganyika. Hizi ni fursa kubwa katika biashara zikitumiwa ipasavyo uchumi wa Mkoa wa Kigoma utapaa.

Ameziagiza Halmashauri zitengeneze mipango mikakati ya namna ya kuweka miundombnu mizuri ya kibiashara ikiwemo kutenga maeneo ya uwekezaji.  Alisema nchi yeyote haiendelei kwa kuwa na rasilimali tu bali uwepo wa mipango mathubuti na wataalam wanaoweza kushauri namna bora ya kutumia rasilimali hizo. Tuchangamkie furasa hii, kwa kunadi fursa zilizopo Mkoani Kigoma.

Ametoa wito kwa mashirika mbalimbali na Taasisi binafsi kuanziasha viwanda vidogovidogo ambavyo havihitaji gharama. Aidha amewataka wafanyabiashara wafanye biashara halali na kuzingatia sheria za nchi hasa ulipaji wa kodi.

Mafunzo hayo yalifanyika chini ya ufadhili wa TCCI, BEST, na LIC kwa lengo la kujadili na kuangalia namna ya kuboresha mazingira ya biashara Mkoani Kigoma na namna ya kushirikiana kati ya sekta binafsi na sekta ya umma kuboresha mazingira ya biashara na kuvutia wawekezaji.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa