• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Mkuu wa Mkoa anusa harufu ya ubadhirifu ujenzi wa Kituo cha Afya Gwanumpu.

Posted on: April 4th, 2019

Taasisi ya kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Kigoma imeagizwa kuwachunguza kuchunguza na kutoa taarifa ndani ya Wiki tatu atumishi 10 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kutokana na sintofahamu ya kutokikamilika kwa wakati Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Gwanumpu Wilayani Kakonko.


Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Gen.(Mst.) Emmanuel Maganga alipokutana na Viongozi pamoja na watendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Kakonko kwa lengo la kutaka kujua kwa nini Kituo hicho hakijakamilika licha ya Serikali kutoa fedha na kwamba Ujenzi wa Kituo hicho ulipaswa kukamilika mwezi Desemba 2018.


Takribani watumishi 10 kutoka katika idara mbalimbali za Halmashuri ya Wilaya ya Kakonko wanahusishwa na ucheleweshwaji wa kumalizika kwa Kituo hicho ikiwemo kukiuka sheria, kanuni na taratibu za Manunuzi, pamoja na baadhi yao kujiingiza kwenye kwenye Kamati ya Ujenzi na hivyo na kusababisha ubadhirifu.


Siku moja kabla ya kikao na Watendaji Mkuu wa Mkoa alifanya Ziara ikiwa pamoja na kukagua miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru ndipo akakutana na madudu ambayo yalimfanya aitishe kikao cha dharuala na kutoa maelekezo makali kwa wanaokamisha kukamilika kwa Kituo hicho.


" Leo ni Mara ya tatu natembelea Kituo hiki halafu kila nikija nakuta bado hakijakamilika nataka nijue nani na nini kimekwamisha, haiwezekani Serikali itoe fedha halafu watu wachache tu mtukwamishe" alisema Maganga.


Aidha pamoja na TAKUKURU kupewa jukumu la kubaini waliohusika katika viashiria vya ubadhirifu Mkuu wa Mkoa amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri kuangalia namba ya kuwaondoa watumishi waliotajwa katika mlolongo mzima wa ukwamishaji katika kukamilisha Ujenzi huo, na kwamba ndani ya wiki moja Kituo hicho kiwe kimekamilika na kuanza kuwahudumia wananchi wa Gwanumpu.


Serikali imekwishatoa Shilingi milioni 500 kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Gwanumpu, hadi sasa ukamilishwaji umeelezwa kufikia asilimia 90 huku fedha iliyobaki hadi sasa ni Milioni 30.

==≠==≠====≠======≠==========≠

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa