• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Mkoa wa Kigoma wapiga hatua Katika kuwezesha Wananchi Kiuchumi

Posted on: July 21st, 2018

Mkakati wa uwezeshaji wa wananchi kiuchumi ulioanzishwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kuwainua wananchi kiuchumi na kuboresha maisha ya wananchi kwa ujumla, umeonekana kuzaa matunda makubwa katika Mkoa wa Kigoma kwa kuinua pato la uchumi kibiashara na shuguli za ujasiliamali kwa wanaume, wanawake na vijana.

Haya yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brig. Jen. Mstaafu Emanuel Maganga wakati akikabidhiwa kombe na cheti cha ushindi kwa nafasi ya pili Kitaifa Katika kuwezesha wananchi kiuchumi.

Akikabidhi kombe hilo kwa Halmashauri za Mkoa wa Kigoma, Mhe. Maganga ameeleza kuwa juhudi kubwa ambazo zimefanywa na Serikali ya Mkoa wa Kigoma ni kusimamia na kuwawezesha Wananchi kiuchumi ikiwa pamoja na kutoa mikopo, kuwapa elimu na mafunzo ya Ujasiliamali wanachi kupita Mabaraza ya Biashara ya Wilaya.

Naye Afisa wa Dawati la Uwezeshaji Kiuchumi la Mkoa wa Kigoma (RECO) Bw. Deogratias Sangu ameeleza mafanikio ya kushika nafasi ya pili yametokana na kukidhi vigezo Katika utekelezaji wa mambo yote yaliyopangwa kama msingi wa kuinua wananchi kiuchumi.

Sangu ameongeza kuwa, Mwaka jana (2017) Mkoa wa Kigoma ulishika nafasi ya mshindi wa tatu Kitaifa, na kwamba juhuzi kubwa imefanyika katika kuwezesha wananchi na kutekeleza vigezo vilivyowekwa kiushinfdani na kufanikiwa kufikia nafasi ya pili kwa mwaka 2018,  ninaamini ushindi huu umetupa hamasa kimko ya kufanya vizuri zaidi ili kushika nafasi ya kwanza aliongeza Bw. Sangu.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti wawakilishi wa wananchi kutoka katika vikundi, Asasi na jumuia za wafanyabiashara waeelezea kufurahishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya Mkoa wa Kigoma katika kuinua uchumi wa wananchi.

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imeahidi kuendelea kuwawezesha wananchi katika shughuli za ujasiriamali na uanziashaji wa viwanda vidogo ili kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa Mkoani humo, ili kutoa tija zaidi katika biashar wanazofanya wajasiriamali hao.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa