• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MIKATABA YA UJENZI WA MELI MBILI ZA MIZIGO YASAINIWA KIGOMA

Posted on: October 11th, 2023


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameshuhudia utiaji saini Mikataba Mitatu ya Ujenzi ikihusisha Kiwanda cha ujenzi wa Meli na Meli Mbili za mizigo baina ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Diarshan Shipyard ya Nchini Uturuki.

Hafla hiyo ya Utiaji saini imefanyika katika Bandari ya Kigoma ambapo mikataba hiyo yenye Thamani ya zaidi ya Bil. 600 Itahusisha ujenzi wa kiwanda hicho mkoani Kigoma, Meli mbili za mizigo zitakazohudumu ziwa Tanganyika na ziwa victoria.

Akizungumza katika Hafla hiyo, Waziri Mbarawa amesema karakana hiyo itakuwa na vifaa vya  kisasa na kwa kuanza inatarajia kuwezesha utengenezaji wa Meli yenye uwezo wa kubeba mizigo hadi kufikia Tani 3500 itakayotumika ziwa Tanganyika pamoja na Meli ya Tani 3000 itakayotumika Ziwa Victoria.

Ameendelea kueleza kuwa Meli itakayojengwa mkoani Kigoma itakuwa na uwezo wa kusafiri kutoka Bandari ya Kigoma hadi Kalemi Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kwa kutumia Masaa Sita.

Awali akitoa Salama za Mkoa, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amesema maboresho makubwa ya miundombinu yanayoendelea kufanywa na Serikali yataendelea kurahisha michakato ya usafirishaji wa bidhaa , kuimarisha huduma za kibiashara pamoja na kuongeza fursa za uwekezaji mkoani Kigoma.

Amesisitiza wananchi kuendelea kutumia fursa hizo kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja pamoja na Taifa kwa ujumla.

Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari nchini Erick  Hamis amesema uwekezaji katika ujenzi wa kiwanda cha Ujenzi wa Meli unatarajiwa kuleta Mapinduzi katika Tasnia ya ujenzi wa Meli nchini.

Amesema kuwa Kiwanda hicho kitakuwa cha kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki, ambapo pia kitatoa fursa za kutoa huduma za ujenzi wa Meli katika nchi jirani za Congo, Burundi na Zambia.

Aidha Hafla hiyo imehudhuriwa na Mabalozi kutoka nchi za Burundi na Congo, Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma, Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma, Kamati ya Usalama Mkoa, wabunge, viongozi wa Dini na vyama vya Siasa pamoja na wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Serikali.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa