• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MCHEZO WA LIGI YA UJIRANI MWEMA WAENDELEA KURINDIMA MKOANI KIGOMA

Posted on: October 9th, 2017

MICHEZO YA UJIRANI MWEMA YAENDELEA KURINDIMA MKOANI KIGOMA

Michuano ya Ligi ya Mpira wa miguu Lake Tanganyika Cup imeendelea kurindima katika viwanja vya Uhuru wikayani Kasulu na Lake Tanganyika Manispaa ya Kigoma Ujiji, huku timu mbalimbali za Mkoa wa Kigoma na Kagera zikichuana kuwania kombe litakalo shindaniwa na mshindi kutoka Tanzania na Burundi.

Mashindano ya ligi hiyo kwa sasa yapo katika hatua ya mzunguko na baadaye mtoano wa timu za Kundi A na B. Kundi A ikihusisha timu kutoka Uvinza, Buhigwe, na Kigoma Mjini zinazoendelea kuchuana katika Uwanja wa Lake Tanganyika na zile za kundi B kutoka Wila za Kasulu, Kibondo, Kakonko na Ngara zinaendelea kucheza katika uwanja wa Uhuru uliopo Wilayani Kasulu.

Ligi ya Lake Tanganyika Cup ni matokeo ya makubaliano ya vikao vya kamati za Ulinzi na usalama kati ya Mkoa wa Kigoma na Mikoa ya Nchi jirani ya Burundi inayopakana na Tanzania ambayo ni Ruyigi, Cankuzo,Rutana, Rumonge na Makamba.

Michezo hii inalenga kuleta ushirikiano wa mambo mbalimbali kati ya Burundi na Tanzania ikiwe diplomasia, kujenga urafiki, undugu, mahusiano mema kati  ya wananchi wa Mikoa ya Burundi inayopakana na Mkoa wa Kigoma.

Akiongea wakati wa Uzinduzi wa Ligi hiyo kwa Upande wa Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amezitaka timu zishindane kistaarabu na si kwa kurushiana ngumi na maneno yasiyoendana na maadili ya mchezo wa soka. Aidha amewaomba wananchi wa mkoa wa Kigoma wafike kushuhudia mechi hizo kiingilia ni bei ya kawaida kwa wote.

Kwakuonesha umuhimu wa ligi hiyo Rais wa Chama cha Mpira ambaye pia ni Spika wa Seneti ya Burundi Bw. Reverien Ndikuriyo aliahidi kutoa vifaa vya michezo pamoja na Kombe ambalo litakaloshindaniwa na timu mbalimbali kutoka Burundi na Tanzania. Ligi itahitimishwa kwa fainali kati ya Mshindi mmoja kutoka Mkoa wa Tanzani na Timu kutoka Burundi ambapo atajinyakulia Kombe siku ya tarehe 28 Oktoba, 2017 katika uwanja wa Lake Tanganyika.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa