• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024 ZAIPOKEA MIRADI YOTE UVINZA KIGOMA NA KIGOMA UJIJI

Posted on: September 16th, 2024

Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2024 zimeanza mkoani Kigoma ambapo jumla ya Miradi 73 yenye Thamani ya Shilingi Bil. 21.3 imeanza kutembelewa, kukaguliwa, kuwekewa mawe ya Msingi na kutembelewa na mbio hizo za kitaifa.

Septemba 14,2024 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ameupokea Mwenge huo wilayani Uvinza ukitokea mkoani Katavi ambapo kupitia taarifa aliyoitoa wakati wa mapokezi ya Mwenge hu, Jumla ya Miradi kumi(10) itawekewa Mawe ya Msingi, mitatu(3)  itafunguliwa, 27 itazinduliwa, 24 itatembelewa na kukaguliwa huku miradi 19 itahusisha ugawaji wa Vifaa kwa vijana wajasiriamali na misaada kwenye shule na vituo vya kulea watoto wenyemahitaji maalum.

Mhe. Andengenye ameendelea kufafanua kuwa katika miradi hiyo, inayotekelezwwananchi inathamani ya Shilingui Mil 105 sawa na Asilimia 0.5, halmashauri za wilaya ni Bil1.0,  sawa na asilimia 4.8, serikali kuu ikichangia Bil. 79.1 ma michango ya wahisani ikifikia  Bil.3.3 sawa na 15.6 Asilimia.

Mpaka kufikia Leo Septemba 16,2024  miradi yote iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru imepokelewa na kiongozi wa mbio hizo kitaifa.

Mbio hizo za Mwenge wa Uhuru zimetembelea miradi mbalimbali katika wilaya za Uvinza, Kigoma na Manispaa ya Kigoma Ujiji ambapo kiongozi huyo wa mbio za Mwenge kitaifa ameonesha kuridhishwa na utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika maeneo hayo.

Akiwa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, kiongozi huyo ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kutumia fedha zitokanazo na Makusanyo ya Ndani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ambapo kiasi cha Shilingi 130,000,000 kinatumika katika ujenzi wa zahanati Kitongoni huku kiasi cha Shilingi 57,000,000 kikitumika katika ujenzi wa Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Buhanda.

Akiwa katika wilaya ya Kigoma, kiongozi huyo amefungua mradi wa upanuzi wa Mradi wa Maji Kidahwe ambao umetajwa kuwa mkombozi kwa wakazi wa eneo hilo kwani kukamilika kwake kutafanikisha dhamira ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu ya kumtua mama ndoo kichwani.

Mradi  huo unatarajiwa kuwaondolea kero ya ukosefu wa maji wakazi takribani 2000 huku maboresho hayo yaakiongeza upatikanaji wa huduma hiyo hadi kufikia Lita 300,000 kwa siku.

Awali mara baada ya Mwenge huo kuanza mbio zake mkoani hapa, kiongozi huyo wa mbio za Mwenge kitaifa amewataka wakazi wilayani Uvinza na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla kujikita katika kilimo cha zao la chikichi kutokana na bidhaa za zao hilo kuwa na uhakika wa masoko ndani nan je ya mkoa wa Kigoma.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa