• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MATIBABU YA HIMOFILIA NA SELIMUNDU KUTOLEWA MKOANI KIGOMA

Posted on: June 16th, 2023

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Jesca Leba ameishukuru Serikali kwa kuwezesha Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutoa fursa ya upatikanaji wa Klinikiya  Matibabu ya Himofilia na Selimundu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma-Maweni.

Akimuwakilisha Mkurugenzi wa Tiba, Wizara ya Afya Prof. Paschal Rugajo katika Hafla ya Uzinduzi wa Kliniki hiyo, Dkt. Leba amesema kuanza kutolewa kwa matibabu hayo mkoani hapa kutarahisha upatikanaji wa huduma hiyo kwa gharama nafuu na ukaribu kwa wagonjwa katika Kanda ya Magharibi.

Amesema hapo awali wagonjwa walilazimika kutumia muda mrefu na Gharama kubwa kuifikia huduma hiyo, tofauti na sasa ambapo huduma itatolewa kwa ukaribu zaidi kwa wagonjwa katika Mkoa wa Kigoma na ile ya jirani.

‘‘Kusogezwa kwa huduma hii kutasaidia wananchi kupatiwa elimu ya ugonjwa wa Himofilia, kupimwa kwa wakati ili kubaini aina ya Himofilia inayomsumbua mgonjwa na kutibiwa kwa muda sahihi, hali itakayo punguza Madhara ya vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza’’ amesema Dkt. Leba.

Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Maweni Dkt. Stanley Binagi amesema Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na wadau wake wenye lengo la kukabiliana na kutokomeza Ugonjwa wa Himofilia na Selimundu, wamewezesha kufanyika kwa maboresho katika Jengo Maalum la Kliniki, upatikanaji wa vifaa Tiba pamoja na Matibabu ya ugonjwa huo.

 Binagi amesisitiza kuwa, matibabu ya ugonjwa huo yatatolewa bure hivyo wenye changamoto hiyo wasisite kufika Hospitalini hapo huku akiwashukuru (MNH) pamoja na wadau wake kwa kutoa mafunzo kwa matabibu katika Hospitali ya Mkoa, wilaya na vituo vya Afya vya Mkoa wa Kigoma kwa ajili ya kuwajengea uwezo wataalam hao katika kuwatambua wagonjwa, kutoa Matibabu pamoja na ushauri kwa wagonjwa wa Himofilia

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa