• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YAPONGEZWA KUCHANGIA MAENDELEO YA MKOA WA KIGOMA

Posted on: August 22nd, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Mhe. Hassan Rugwa amesema uwepo wa Mashirika yasiyo ya kiserikali mkoani Kigoma umechangia kuisaidia serikali kwa kiasi kikubwa katika kutatua changamoto za wananchi kupitia utekelezaji wa afua mbalimbali kwa lengo la kusukuma mbele gurudumu la maendeleo.                   Mhe. Rugwa ametoa kauli hiyo alipofungua Mkutano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali mkoa wa Kigoma uliolenga kupitia taarifa za utendaji kazi wa Mashirika hayo kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2023 na kusisitiza kuwa wadau hao wamekuwa mchango mkubwa kupitia afua mbalimbali wanazotekeleza ikiwemo kwenye sekta ya toaji wa huduma za jamii, Maendeleo ya Jamii, utawala bora,  sambamba na utunzaji wa Mazingira.

Kupitia hotuba yake, kiongozi huyo amezitaja changamoto mbalimbali zinazoyahusu mashirika hayo kuwa ni pamoja na kutegemea zaidi wafadhili katika utekelezaji wa majukumu yao hivyo ufadhili unapokoma au kulegalega husababisha ufanisi wa mashirika hayo kuwa mdogo au kushindwa kabisa kujiendesha na kusababisha baadhi ya mipango kutokamilika.

‘’Hali hii huchangia kwa kiasi kikubwa mashirika mengi kutekeleza majukumu kwa kuzingatia matakwa ya wafadhili badala ya kuzingatia mahitaji halisi ya wananchi katika mazingira waliyopo’’amesema Rugwa.

Ameitaja changamoto nyingine kuwa ni mashirika mengi kutekeleza majukumu yao katika maeneo ya mijini badala ya kujielekeza vijijini ambapo pia kuna mahitaji makubwa ya kijamii.

‘’Niwasisitize kuzingatia na kujielekeza maeneno yote ya mijini na vijijini mnapoweka mipango ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili wanakigoma wote waweze kunufaika na utendaji kazi wenu’’ amesema Rugwa.

Rugwa ameyataka mashirika hayo kutoa taarifa za utekelezaji wa kazi zao kwa wananchi katika maeneo wanayotoa huduma ili wakazi waweze kufahamu maendeleo na matokeo ya kazi hizo wanazozifanya.

Aidha kupitia hotuba yake, Katibu Tawala ameyataka Mashirika hayo kujenga utamaduni wa kufanya utafiti utakaoshirikisha wananchi ili waweze kutoa maoni kuhusu mahitaji yao ili huduma zinazotolewa na mashirika hayo ziweze kuwagusa moja kwa moja.

Utakuta kuna maeneo yanamashirika zaidi ya moja na kazi wanazofanya zinafanana, hivyo niwatake mkafanye utafiti na kutawanya huduma zenu katika maeneo yote ya mkoa badala ya kujikita mijini au katika halmashauri chache huku maeneo mengine yakikosa huduma.Aidha katibu tawala huyo ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa mashirika hayo ili yaweze kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi katika kuhakikisha wananchi wa mkoa wa Kigoma wanapata huduma muhimu.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa