• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Mashirika yanayorubuni Wakimbizi kubakia Makambini yatahadharishwa

Posted on: July 25th, 2018

Mashirika yanayojihusisha katika utoaji wa huduma mbailmbali  za kibinadamu kuwahudumia wakimbizi katika kambi za Wakimbizi Mkoani Kigoma, yameonywa kutokuingilia mchakato wa Zoezi la kuwarejesha kwa hiari wakimbizi walipo katika kambi za Nduta, Mtendeli na Nyarugusu zilizopo Mkoani Kigoma Mkoani Kigoma.

Akiongea na jamii ya wakimbizi katika kambi ya Nduta, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Brig. Jen. (mst) Emanuel Maganga amesema makundi ama  mashirika yanayotoa vitisho kwa wakimbizi wa Burundi waliojiandikisha kurejea nchini mwao kwa hiayari kwa lengo la kuwatishia ili waendelee kuwa wakimbizi kwa manufaa binafsi ya watu au mashirika yatashughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi.

Akiwa katika zira ya uhamasishwaji wa wakimbizi kurejea nchini kwao Burundi, Maganga amesema Nchi ya Burundi kwa sasa ina amani na utulivu, matukio yanayotokea ni yale ya kawaida amabayo yanaweza kuwepo katika jamii nan chi yoyote dunia. Amewahakikishia wakimbizi kuwahadi sasa nchi ya Burundi inawakazi zaidi ya Milioni 12 ambao wanaendelea kuishi na kufanya kazi bila bughudha yoyote nchini Burundi.

Maganga ameongeza kuwa yari wakimbizi zaidi ya 38000 wamereja kwa hiayari na kupokelea nchini mwao wanaendele kuishi bila matatizo, hivyo wakimbizi waliopo Mkoani Kigoma hawana budi kuru nchini mwao Burundi kwenda kujenga nchi yao.

Naomba niwaambie ndugu zangu kuwa kambi za wakimbizi siyo makazi ya kudumu, hivyo mnapaswa kurejea nyumbani mkajenge nchi yenu na kuishi kwa heshma alisisitiza Manganga.

Aidha amewaeleza kuwa Serikali ya Tanzania haina mpango wa kutoa Urai kwa wakimbizi kutoka Nchi ya Burundi, vilevile mpango wa kuhamishiwa nchi ya tatu ni finyu kwa sasa na raia wa Burundi hawamo katika mpango huo.

Kwa upande wao Baadhi ya Wakimbizi wametupia lawama kwa Shirika la Kuhudumia wakimbizi pamoja na Mashirika mengine ya nayohusika na kusafirisha wakimbizi wakati wa kurejea kwao kuwa wamekuwa wakijiandikisha kurejea kwa hiari nchini kwao, lakini wanakaa miezi sita hadi minane hawarudishi jambo ambalo limekuwa wakati mwingine likiwakatisha tama.

Nkeshimana Irankunda akiongea mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma ameeleza kuwa wakimbizi wengi wameonesha nia ya kurejea nchini Burundi kwa hiari ili kwenda kujenga nchi yao, lakini wanapojiandikisha utaratibu wa kusafirishwa umekuwa na mlolongo mrefu kiasi cha kuwakatisha tama na kubadirisha nia yao ya kurejea.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa