• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAONESHO YA MIFUKO YA UWEZESHAJI KIUCHUMI YAKAWE CHACHU YA MAENDELEO-DC KALLI

Posted on: May 22nd, 2023

Wakazi mkoani Kigoma wametakiwa kuyatumia Maonesho ya Mfuko na Program za uwezeshaji kujifunza namna ya kutumia fursa mbalimbali zilizopo katika Mkoa kwa ajili ya kujiinua, kujiendeleza na kujiimarisha kiuchumi.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Salum Kalli alipotoa Taarifa kwa Umma kwaniaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kuhusu uwepo wa Maonesho ya Sita ya Mfuko wa Uwezeshaji Kitaifa Mkoani hapa yanayotarajia kufunguliwa Mei 23, 2023 na Naibu Waziri wa Viwanda, Uwekezaji na Biashara Mhe Exaud Kigahe.

Amesema Mkoa umepata bahati kuwa kitovu cha Maonesho hayo muhimu hivyo wakazi waitumie fursa hiyo adhimu kwa ajili ya kupata uwezeshwaji wa kitaalam na kiuchumi ili kujiendeleza na kujiimarisha kiuchumi kupitia Nyanja za Biashara na uwekezaji.

‘‘Nitoe wito kwa wa kazi wa Mkoa wa Kigoma kujitokeza kwa wingi kwa lengo la kupata maarifa mapya kuhusiana na taratibu mbalimbali za kuwezeshwa na kujiimarisha kiuchumi kupitia fursa zilizopo ndani na nje ya mkoa kwa lengo la kujiletea Maendeleo’’ ameeleza Kalli.

Naye Linda Mshana ambaye ni Meneja Masoko na Uwezeshaji kutoka Mfuko wa Self, amesema maonesho hayo yanatoa fursa ya kutoa huduma na mafunzo wezeshi ya kiuchumi kupitia mifuko ya Serikali ya Program za uwezeshaji wananchi kiuchumi, Taasisi wezeshi katika uanzishaji na uendelezaji wa Biashara pamoja zile zinazotoa huduma kwa Jamii.

Amesema Pamoja na kuendesha mafunzo, zitatolewa huduma za mikopo kwa wananchi  watakaokidhi vigezo kwa lengo la kuanzisha na kuendeleza shughuli za Kilimo na ufugaji, kuanzisha na kukuza Biashara pamoja na kuboresha uzalishaji kwa wenye viwanda  vidogo na vya kati.

Maonesho hayo yaliyoanza Mei 21, 2023 katika Uwanja wa Mwanga Community Centre, Manispaa ya Kigoma/Ujiji yanatarajiwa kufungwa Mei 27, 2023 na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa