• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
      • Seksheni ya Maji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO BUHIGWE

Posted on: July 27th, 2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ametembelea na kukagua maendeleo ya Miradi ya Elimu na Afya inayotekelezwa  katika Kijiji cha Kasumo  wilaya ya Buhigwe Mkoani hapa.

Mh. Mpango amekagua ujenzi wa shule ya Sekondari ya wasichana Kidato cha Tano na Sita  yenye jumla ya Majengo 18 yanayojengwa kwa Thamani ya Shilingi Bilioni Moja katika kijiji hicho na kuridhishwa na kazi zinazoendelea kufanywa na mafundi pamoja na wasimamizi wa mradi huo.

Aidha, amekagua  ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kasumo unaotekelezwa kwa nguvu za wananchi kwa kushirikiana na Serikali wenye thamani ya Shilingi Milioni 133 ambao unatarajiwa kukamilika tarehe 30 Septemba 2022.

Baada ya kukagua miradi hiyo, Makamu wa Rais amewapongeza wakazi wa kijiji hicho kwa kujitolea kutekeleza mradi wa Zahanati, huku akisisitiza wanafunzi watumie fursa ya uwepo wa miundombinu ya kielimu inayoendelea kujengwa ili kujiendeleza kitaaluma na kupata wataalamu mbalimbali kwa manufaa ya Taifa.

Amewaagiza wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa shule kupanda miti pembezoni mwa majengo ili kupendezesha na kulinda mazingira pamoja na kupunguza  Athari zinazoweza kusababishwa  na upepo mkali.

Katika hatua nyingine Makamu wa Rais amechangia jumla ya mifuko 200 ya Saruji  pamoja na kuendesha harambee iliyofanikisha kupatikana kwa mifuko 410 iliyokuwa inahitajika ili kukamilisha ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kasumo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA August 05, 2019
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • KIPINDI CHA TAMISEMI KAZINI KUJA NA MAJIBU YA UTEKELEZAJI MIRADI YA SERIKALI

    August 14, 2022
  • SERIKALI YAONYA WAVAMIZI WA ARDHI MAENEO YA TAASISI ZA DINI

    August 11, 2022
  • TUUNGE MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA MALARIA

    August 05, 2022
  • UTEKELEZAJI AFUA ZA LISHE, MSINGI WA KUSHUSHA KIWANGO CHA UDUMAVU

    August 01, 2022
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255738192977

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa