• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAJALIWA AZINDUA AWAHIMIZA WATANZANIA KUJITOKEZA KUSHIRIKI KUJIANDIKISHA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Posted on: July 20th, 2024

WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KASSIM MAJALIWA AKZINDUA RASMI ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA MKOANI KIGOMA.

Waziri  Mkuu Kassim Majaliwa amezindua zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura  huku akiwataka watanzania wote kujitokeza kujiiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari hilo.

Akizungumza kwenye uzinduzi huo wa daftati la kudumu la wapiga kura uliofanyika uwanja wa Kawawa manispaa ya Kigoma Ujiji Waziri Mkuu Majaliwa alisema kuwa zoezi la uboreshaji wa daftari kudumu la Wapiga kura na zoezi zima la Wapiga kura linawuhusu watanzania kulingana na kutambuliwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Alisema kuwa taarifa za tume huru ya Taifa ya uchaguzi (INEC) inaonyesha kuwepo kwa wapiga kura wapya milioni 5.5 ambao wanapaswa kuandikishwa kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 hivyo tume imejiandaa kuhakikisha watu wote hao wanaandikishwa katika zoezi la kuandikisha.

Sambamba na hili Waziri Mkuu Majaliwa amewataka Watanzania wote kusimamia kwa karibu utekelezaji wa zoezi hilo wakiwemo mawakala  kuhakikisha wanaondikishwa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ni Watanzania ili wapate nafasi ya kuchagua viongozi wao na kuwafichua watu ambao siyo watanzania wanaotaka kujipenyeza kuandikishwa.

Pamoja na hilo alisema kuwa uandikishwaji mwaka huu umeboreshwa kwa kiasi kikubwa ambapo zoezi hilo unaanzia kwenye simu ya mkononi ya kila Mtanzania hivyo watekeleze hilo ili kupunguza msongamano, kupunguza muda wa kukaa vituoni na kulifanya zoezi kuwa rahisi.

Aidha katika uzinduzi huo Waziri Mkuu Mkuu amevitaka vyama vya siasa ambao ndiyo wadau wakubwa wa uchaguzi huo kutoa elimu kwa wanachama wao kuhusu zoezi hilo lakini pia kuweka mawakala ambao watasimamia zoezi hilo kwenye vituo akitaka mawakala hao kutolewa kwenye maeneo husika ya vituo na kuwa na uzalendo na nchi yao.

Waziri Mkuu Majaliwa pia ameyaasa mashirika yasiyo ya serikali yaliyoteuliwa kutoa elimu kwenye zoezi la uandikishaji na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kuzingatia majukumu yao kulingana na maombi yao na zoezi lenyewe badaya la kufanya mambo ambaayo hayasiaani na taratibu za daftari wala uchaguzi.

Katika uzinduzi wa zoezi hilo Waziri Mkuu Majaliwa alitoa agizo kwa idara ya uhamiaji mkoa Kigoma na nchi nzima kwa jumla kutembelea vituo na kufanya uhakiki wa watu wanaoandikishwa kuwa ni Watanzania na kufanya kazi taarifa watakazopata kuhusu watu wanaotaka kujiandikisha ambao siyo Watanzania

Awali akitoa taarifa kwa Waziri Mkuu, Mwenyekiti wa Tume huru ya Taifa ya uchaguzi nchini (INEC), Jacob Mwambegele alisema kuwa Katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mwaka huu 2024 kutakuwa na jumla ya vituo 40,126, ambapo kati ya vituo hivyo, 39,709 ni vya Tanzania Bara na vituo 417 ni vya Zanzibar.

Jaji Mwambegele alisema kuwa hilo  ni ongezeko la vituo 2,312 ikilinganishwa na vituo 37,814 vilivyotumika kuandikisha wapiga kura mwaka 2019/2020 huku kukiwa na ongezeko la wapiga kura wapya milioni 5.5,wapiga kura milioni 4.3  wataboresha taarifa zao na wapiga kura 594,494  wataondolewa kwenye Daftari kwa kukosa sifa za kuendelea kuwepo kwenye Daftari hivyo baada ya uboreshaji inatarajiwa kuwa Daftari litakuwa na jumla ya wapiga milioni 34.7.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa