• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA MANUNUZI YAFUNGULIWA MKOANI KIGOMA

Posted on: August 28th, 2023

MKUU WA KITENGO CHA TEHAMA KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA ASHURA SADICK, AKIWASILISHA MADA KWA WAJUMBE (HAWAPO PICHANI) KUHUSU NAMNA YA KUTUMIA MFUMO MPYA WA UNUNUZI SERIKALINI (NeST). MAFUNZO HAYO YANAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA.

BAADHI YA WAKUU WA IDARA NA VITENGO VYA HALMASHAURI NANE ZA MKOA WA KIGOMA WAKIFUATILIA JAMBO WAKATI WA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA MATUMIIZI YA MFUMO MPYA WA UNUNUZI SERIKALINI (NeST) YANAYOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA.

Wataalam kutoka Idara na Vitengo katika Halmashauri Nane za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuzingatia mafunzo ya Mfumo wa Manunuzi Serikalini (NeST) ili kuongeza Tija katika eneo hilo muhimu la utoaji Huduma kwa Umma.

Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Patrick Kigere alipofungua mafunzo ya Siku Tano kwa wataalam hao yaliyolenga kuwajengea uwezo katika matumizi ya mfumo huo mpya wa Manunuzi serikalini yanayofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kigoma.

Amesema Serikali kupitia Mamlaka ya kudhibiti Ununuzi wa Umma (PPRA) imeamua  kuimarisha mifumo pamoja na taratibu za manunuzi serikalini kwa lengo la kudhibiti changamoto zinazozikabili Taasisi nunuzi pamoja na wazabuni.

‘’Katika Mafunzo haya, mtajengewa uwezo  ili kupata weledi katika kutumia mfumo na mkazingatie yale mnayojifunza kwenye utendaji wenu na kutokwenda kinyume na matakwa ya Serikali’’ amesisitiza Kigere.

Aidha Kigere amesema kukamilika kwa  mafunzo hayo kukawe chachu na kutia msukumo kwa taasisi za Ummamkoani Kigoma kuanza kutumia  mfumo ifikapo Oktoba 1, 2023.

KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA PATRICK KIGERE AKIZUNGUMZA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO KUTOKA HALMASHAURI ZA WILAYA ZA MKOA WA KIGOMA (HAWAPO PICHANI) KABLA YA KUFUNGUA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MFUMO WA NeST, LEO AGOSTI 28, 2023.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa