• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MABORESHO YA MIUNDOMBINU OFISI YA MKUU WA MKOA YAENDANE NA UTOAJI HUDUMA WENYE UBORA

Posted on: April 11th, 2023

TAHARIRI.

Maboresho makubwa yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika katika Jengo la Ofisi ya Mkoa wa Kigoma pamoja na Ujenzi wa Ofisi na Makazi ya viongozi katika Halmashauri zote za Mkoa wa Kigoma ni Jambo linalopaswa kupongezwa kwani Mazingira Bora ya watoa huduma na utoaji huduma hudumisha upatikanaji wa huduma yenye ubora, utimilifu na yenye kuridhisha.

Ukarabati Mkubwa uliofanyika katika Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa umegusa Maeneo ya ndani na nje ya Jengo na kuyafanya kuvutia kwa watoaji pamoja na wapokea huduma, hali inayosababisha kutochoshwa na Mazingira hayo.

Mpangilio mzuri wa Mandhari ya  nje ya Jengo hilo unaruhusu wahitaji wa huduma pamoja na wageni mbalimbali wanaofika katika eneo hilo kutokumbana na adha au usumbufu katika kuzifikia Ofisi, kukutana na watumishi pamoja na kuegesha vyombo vyao vya usafiri katika eneo lenye hadhi na usalama zaidi.

Nitumie fursa hii kutoa pongezi kwa maono makubwa ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Albert Msovela kwa kuguswa na kuyatazama kwa jicho la pili mahitaji ya watoa na wahitaji wa Huduma kupitia Ofisi hii muhimu ya Serikali katika Mkoa wa Kigoma.

Shime kwa watumishi wote wa Umma katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma wenye jukumu la kuwahudumia wananchi, kuongeza ufanisi katika kuhakikisha Mazingira haya yanaendana na kasi ya utoaji huduma yenye ubora na kupatikana kwa wakati. Hilo likifanyika litashabihiana na Dhamira ya Uongozi wa Ofisi katika kufanya maboresho hayo makubwa.

‘’Kazi iendeleee’’

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma.

Baadhi ya watumishi wa Sehemu na Vitengo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma wakitekeleza majukumu yao ya kila siku kwa lengo la kuwahudumia wananchi wa Mkoa wa Kigoma

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa