• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAANDALIZI TANGANYIKA CUP KWA VIJANA YAANZA KUSHIKA KASI

Posted on: May 26th, 2023

Balozi mdogo katika ubalozi wa Burundi mkoani hapa  Kekenwa  Jeremie amekabidhi Mipira Mia moja kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye ikiwa ni sehemu ya Maandalizi ya Mashindano ya Ligi ya Ujirani Mwema(Tanganyika Cup) kwa Timu za Vijana chini ya Miaka 18 kwa Mwaka 2023.

Mipira hiyo ni utangulizi wa mipira 150 iliyoahidiwa kutolewa na Katibu Mkuu wa Chama Tawala nchini Burundi  CNDD-FDD Reverian Ndikuriyo kwa ajili ya Maandalizi ya ligi ya Tanganyika Cup pamoja na Dhamira yake ya dhati katika kuibua na kukuza vipaji vya Soka kwa Mkoa wa Kigoma na nchi jirani ya Burundi ili kutoa fursa kwa vijana kupata ajira kupitia tasnia hiyo.

Mara baada ya kupokea Mipira hiyo, Andengenye amemshukuru Ndikuriyo kwa Moyo wake wa Uzalendo unaomsukuma kuguswa na mustakabali wa kizazi kilichopo na kijacho na kuandaa njia za mafanikio kupitia michezo pamoja na kuendelea kuimarisha mahusiano mema baina ya nchi za Tanzania na Burundi.

Upande wake balozi huyo katika ubalozi mdogo wa Burundi nchini Tanzania amesema nchi yake itaendelea kuheshimu udugu uliopo baina ya mataifa hayo mawili huku akisisitiza kuunga mkono juhudi za Ndikuriyo katika kukuza Sekta ya michezo ili kuongeza fursa za ajira kwa vijana.

‘’Mpira umekuwa chanzo  chanzo cha ajira na kutoa fursa za kujiinua kiuchumi kwa vijana ndani na nje ya nchi zetu, hivyo tukiimarisha msingi huo kwa kuwawezesha vijana tutawasaidia kufikia malengo yao kupitia mchezo wa Soka’’  amefafanua Jeremie.

Kupitia kikao cha Maandalizi ya Ligi ya Ujirani mwema inayohusisha Mkoa wa Kigoma na mikoa ya Burundi inayopakana na Tanzania mwaka 2022, wajumbe walikubaliana ligi hiyo ihusishe vijana wenye Umri wa chini ya Miaka 18 kwa lengo la kuibua vipaji na kuhamasisha mchezo huo kwa vijana.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • JESHI LA UHAMIAJI KIGOMA LAPONGEZWA KATIKA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

    June 23, 2025
  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa