• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAAGIZO YA MHE. MKUU WA MKOA WA KIGOMA BRIGEDIA JENERALI EMANUEL MAGAGA (MST.) KATIKA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI NA KUHAMASISHA MAEDELEO WILAYANI KIBONDO TAREHE 11-13 APRILI, 2017

Posted on: April 18th, 2017

#1.Kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi-maeneo mengi wananchi wanalalamikia tishio la usalama kwa sababu ya uwepo wa wakimbizi wegi katika kambi za Nduta na Mtendeli


#2. Wananchi na Maafisa/watumisi wasio na Mafunzo ya Mgambo wajiunge na Mafunzo ya Mgambo

#3. Suala la uadikishwaji wa Vitambuliso vya Utaifa lifanywe kwa uangalifu ili kuepuka kutoa vitambuliso kwa watu wasio watazania, hii ni pamoja na kutoa elimu ya uraia kwa wananchi kabla ya zoezi lenyewe.

#4. Wananchi wahimizwe kujiuga na bima ya Afya CHF kwa kauli ya Kuku mmoja matibabu Mwaka mzima kwa familia

#5. Vijana na Kinamama wapatiwe elimu juu ya umuhimu wa kujiunga kwenye vikundi ili kupata mikopo kupitia fedha za Halmashauri 10% ya makusanyo ya ndani

#6.       Watendaji wasikae Ofisini, waende vijijini kuwahudumia wananchi

#7.       Halmashauri zitengeneze mabwawa ya samaki kwa kila shule kama sehemu ya Mafunzo na lishe kwa wanafunzi

#8.       Shule zipewe maeneo ya kilimo kama shamba darasa na Chakula cha shule

#9.       Elimu bila malipo: pale penye uhitaji wa michango utaratibu ufuatwe kupitia vikao vya wazazi na bodi za shule

#10.    Miundombiu ya shule ilindwe na kutunzwa, bajeti za walinzi ziwekwe

#11.    Jeshi la polisi imarisheni ulizi komeshei kabisa matukio ya utekaji Mkoani Kigoma

#12.    Kamati za Maji za vijiji ziimariswe na kusimamiwa ili kutoa huduma bora za maji vijijini

#13.    Tovuti za almasauri zifanyekazi kutoa taarifa kwa wananchi/umma

#14.    Hali ya Mapambano dhidi ya rushwa inaridha kwa sasa Mkoani Kigoma lakini juhudi zaidi ziongezwe ili kutokomeza adui huyu

#15.    Walimu waliohamishwa lakini bado hawajaenda katika vituo vyao waripoti ndani ya siku saba wasipofanya hivyo sheria ifanye kazi

#16.    Viongozi waepuke migogoro ya chuki na maslahi binafsi, badala yake wachape kazi kwa maendeleo ya wananchi

#17.    Watendaji na Watumishi tendeni haki kwa wateja wenu ambao ni wananchi

#18.    Tunapohimiza michango ya madawati na maendeleo mengine watumishi na Watendaji wawe mstari wa kwanza kuchangia

#19.    Taasisi za Umma hususani shule na Hospitali ziwekewe “thunder arrester” vizuia radi kupunguza vifo vinavyosababshwa na radi

#20.    Taasisi zote zilipe kodi kwa watoa Huduma kwa kuzingatia sheria

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa