• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

MAADHIMISHO WIKI YA CHANJO WANANCHI KATA ZA KAGUNGA, ZASHE NA MWAMGONGO WAFIKIWA

Posted on: April 28th, 2025

Wakazi katika Kata ya Mwamgongo na Kagunga zilizopo Halamashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani hapa wameishukuru serikali kwa kuimarisha huduma za utoaji wa huduma ya kingatiba kupitia utaratibu wa kutoa chanjo kwa ajili ya kudhibiti magonjwa mbalimbali hali inayochangia ulinzi wa Afya za watoto wao na kudumisha Afya bora kwa watoto ili kuimarisha nguvu kazi ya Taifa kwa siku zijazo.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti waliposhiriki katika zoezi la kuhamamasisha chanjo lililofanyika wilayani Kigoma likihusisha Kamati za Afya Mkoa na wilaya ya Kigoma kwa ufadhili wa Shirika la Uhamiaji (IOM) wameipongeza serikali kwa kuendelea kuhakikisha huduma za chanjo zimekuwa zikiwafikia kwa wakati na kupatikana bila uwepo wa changamoto zozote pamoja na maeneo yao kuwa na changamoto ya kufikika kw a urahisi.

Fatuma Ibrahim Mkazi wa Kijiji cha Mwamgongo amesema huduma ya chanjo imekuwa ikipatikana kwa wepesi katika zahanati iliyopo kijijini humo jambo linalowahakikishia ulinzi na usalama wa Afya za watoto wao.

Hamimu Sudi Mkazi wa Kijiji cha Mwamgongo mesema kupitia utaratibu wa hamasa unaoendeshwa na wataalam wa Afya kutoka serikalini kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo unachangia kwa kiasi kikubwa wananchi kushiriki katika kupata huduma hiyo jambo linalopunguza athari za magonjwa ambapo matokeo yake ni vifo na ulemavu kwa watoto.

Mratibu wa Huduma za  chanjo Mkoa wa Kigoma Yohanes Peter amesema  mkoa umeadhimisha wiki ya chanjo kitaifa kwa kuendesha huduma za mkoba kwa ajili ya kuwafikia walengwa huduma za chanjo ambao ni mabinti wenye umri wa miaka chini ya Tisa, watoto wenye umri  chini ya miaka mitano na wanawake walio katika umri wa kujifungua ikiwa ni mika 15 hadi 45, ambapo zoezi hilo linafanyika kwa kutembelea maeneo yote ya mkoa yenye changamoto ya kufikika kwa urahisi ili kuongeza uelewa na hamasa ya umuhimu wa chanjo kwa jamii.

Amesema kwa Halmashauri ya Kigoma wamefanikiwa kuzifikia kata za Kagunga, Zashe na Kata ya Mwamgongo ambapo zoezi kubwa lililofanyika ni kuhamasisha wakazi kujitokeza, kushiriki kupewa elimu pamoja na kuendesha zoezi la utoaji chanjo kwa kushirikiana na wataalam wa Afya waliopo katika maeneo hayo.

Amesema sambamba na hayo kazi nyingine zilizofanyika ni upimaji wa uzito, shinikizo la damu pamoja na ushauri wa kiafya.

Zoezi hilo ni mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya chanjo duniani kuanzia Aprili 24-30,2025 ambapo maadhimisho ya kitaifa kwa mwaka huu wa 2025 yatafanyika mkoani Dodoma,

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa