• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KUTOIMARIKA KWA MIFUMO YA TEHAMA KWATAJWA KUCHELEWESHA UTOAJI HUDUMA ZA KIMAHAKAMA

Posted on: June 20th, 2023

Ukosefu na kutoimarika kwa Huduma za Mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika Mahakama nyingi nchini kumetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuchelewesha mchakato wa kushughulikia Mashauri ya Kimahakama.

Kauli hiyo imetolewa na Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Prof. Ibrahim Juma alipofungua kikao kati ya Tume hiyo, watumishi wa Mahakama pamoja na Kamati za Maadili uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma.

‘’Pamoja na kuanzishwa kwa Mifumo wa Kitekonolojia, Mahakama nyingi nchini hazijaunganishwa na Mifumo madhubuti ya TEHAMA itakayowezesha kuratibu na kuendesha kesi  kwa njia ya mtandao’’ amesema Jaji Prof. Juma.

Jaji Juma amezitaja pia changamoto za uhaba wa watumishi katika Mahakama mpya, ukosefu wa Huduma ya Magereza katika Wilaya Mpya pamoja na ukosefu wa Umeme wa uhakika kwenye majengo ya Mahakama, kuendelea kuchangia katika kuchelewesha mienendo ya kesi nchini.

Kupitia Taarifa ya Utekelezaji wa Shughuli za Kamati ya Maadili Mkoa wa Kigoma aliyoiwasilisha kwenye Mkutano huo, Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma ambaye pia ni Katibu wa Kamati ya Maadili Mkoa Albert Msovela amesema Mkutano huo utaamsha ari ya kiutendaji kwa Kamati ya Maadili Mkoa na za Wilaya.

Amesema Kamati zote hazijapokea malalamiko dhidi ya utendaji kazi wa watumishi wa Mahakama katika ngazi mbalimbali kutokana na watendaji hao kutawaliwa na weledi na maadili ya kiutumishi katika utendaji kazi wao.

Aidha amesisitiza kuwa, kutokuwepo kwa malalamiko ya wananchi dhidi ya watendaji wa kimahaka kumechangiwa na kuongezeka kwa uelewa miongoni mwa wakazi kuhusu masuala ya kisheria pamoja na taratibu za Mahakama.

Naye Jaji Mfawidhi wa Mahakama ya Kanda ya Iringa Ilvin Mgeta amesema Kamati za Maadili zinaendelea kusimamia Jukumu la kuhakikisha maadili yanazingatiwa na watumishi wa Mahakama kwa kupokea na kufanyia kazi malalamiko ya Wananchi dhidi ya changamoto za upatikanaji wa Haki kwa wananchi.

Aidha amewasisitiza watumishi wa Mahakama kwa ngazi zote nchini  kuhakikisha wanatoa huduma kuendana na miongozo ya kisheria iliyowekwa na Serikali kwa lengo la kuepuka ukosefu wa haki unaosababisha malalamiko kutoka kwa wananchi.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa