• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KIGOMA YAANZA KUTEKELEZA SERA YA VIWANDA 100

Posted on: November 30th, 2017


Halmashauri zote Mkoani Kigoma zimetakiwa kuainisha malighafi zote zinazopatikana katika maeneo yake, pamoja na kutambua fursa zilizopo na namna ya kuwasaidia wananchi kuanzisha viwanda ili kutekeleza sera ya viwanda 100 Mkoani Kigoma.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Emannuel Maganga akizungumza katika Mkutano wa pili mwaka 2017 wa baraza la uwezeshaji biashara la Mkoa, ili kutekeleza sera ya viwanda 100 Mkoani Kigoma viongozi na watendaji waache kufanya mambo kwa mazoea watumie taaluma na weledi kubuni mambo yatakayowasaidi wananchi kuanzisha viwanda na pia kuzalisha bidhaa zenye ubora hivyo kila Halmashauri hainabudi kuwa na mipango mkakati ambayo sit u itabaki kwenye maandishi bali kwenye utekelezaji na utendaji hatimaye wananchi waweze kufaidika.

Maganga alisema Mkoa wa Kigoma unamalighafi nyingi ambazo ni fursa kwa wananchi kuanzisha viwanda vya kuchakata malighafi hizo na kuziuza ndani ya nchi na nchi jirani za Kongo na Burundi.aliongeza kuwa changamoto ya umeme isiwe kigezo cha kushindwa kwani viwanda vidogovidogo vinavyotumia umeme wa kawaida vinawezekana kuanzishwa kwa umeme uliopo.

Katika kufanikisha azma ya kufikia Uchumi wa Viwanda Halmashauri zimeshauriwa kutenga fedha za kutosha kila mwaka katika bajeti zake ili kuhakikisha kuwa zinajenga na kuboresha mazingira bora yatakayo wavutia zaidi wawekezaji  hasa sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya viwanda

Aidha amezitaka taasisi za kifedha kuangalia namna zinavyoweza kuwawezesha vijana na wajasiriamali katika kufanikisha suala la uwekezaji wa viwanda kwani kwa kufanya hivyo watakuza uchumi wa Mkoa wa Kigoma na nchi kwa ujulma.

Hivi karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Miko na Serikali za Mitaa Mhe. Suleiman Jaffo (Mb) alizindua mpango wa uanzishwaji wa viwanda Mjini Dodoma chini ya kaulimbiu ya Mkoa wangu Kiwanda changu, yenye lengo la kuhakikisha kila mkoa utumie fursa zilizopo kutekeleza azma ya serikali ya awamu ya tano ya nchi ya viwanda.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa