• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KIGOMA IPO TAYARI KUPOKEA WAWEKEZAJI-RC ANDENGENYE

Posted on: April 29th, 2024

MKUU WA MKOA WA KIGOMA KAMISHNA MSTAAFU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI THOBIAS ANDENGENYE AKIONGOZA KIKAO CHA WATAALAM KUTOKA OFISI YA MKUU WA MKOA, TANESCO, NEMC NA KUWASA PAMOJA NA  WATAALAM KUTOKA KAMPUNI YA TAZACO INV. LTD  WALIPOMTEMBELEA OFISINI KWAKE KWA LENGO LA KUTAMBULISHA  ZOEZI LA UPEMBUZI YAKINIFU WANALOLIFANYA KWA LENGO LA KUANDAA MAPENDEKEZO YA AWALI KWA AJILI YA MPANGO WA UPANUZI WA BANDARI YA KIGOMA APRILI 29,2024.

Wataalam kutoka Kampuni ya TAZACO Investment Limited Tz wamewasili mkoani Kigoma na kukutana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye  kwa lengo la kumsalimia kisha kutambulisha zoezi la upembuzi yakinifu wanalolifanya mkoani hapa ili kuandaa mapendekezo ya Awali ya Mpango kazi wa upanuzi wa Bandari ya Kigoma.

Awali akitoa salamu za ukaribisho,  Mkuu wa mkoa amesema mkoa upo zaidi ya tayari kwa ajili ya kupokea wawekezaji ili kutimiza dhamira ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuufanya kuwa kitovu cha  uwekezaji na Uchumi kwa ukanda wa Magharibi.

Amesema uboreshaji wa bandari hiyo utarahisisha mchakato wa upokeaji, uhifadhi na usafirishaji wa mizigo katika bandari kutokana na idadi kubwa ya mizigo inayotarajiwa kusafirishwa kuelekea katika nchi za Congo DR, Burundi na Zambia mara baada ya kukamilika kwa reli ya kisasa ya SGR.

‘’Mkoa wa Kigoma unaendelea kufunguka na kutoa mazingira bora na wezeshi kiuwekezaji kutokana na kuimarika kwa miundombinu ya Uchukuzi na usafirishaji,  ujenzi wa mfumo wa Umeme wa Gridi ya Taifa sambamba na uhakika wa upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii’’ amesema Andengenye.

Kampuni ya TAZACO Inv. Ltd imeonesha kuvutiwa nakuweka nia ya kupanua Bandari ya Kigoma ili kuongeza uwezo na kuzidi kuipaisha nchi ya Tanzania kiuchumi kupitia shughuli za kibiashara kwenye sekta ya Bandari.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa