• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma asisitiza kuzingatia thamani ya fedha katika Miradi ya Programu ya Pamoja ya Kigoma

Posted on: September 25th, 2020

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Rashid Mchatta amewataka Watendaji na Maafisa wa Serikali katika wilaya za Kibondo, Kakonko, Kasulu na Buhigwe kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali na kuhakikisha miradi hoyo inakidhi Kiwango cha thamani ya fedha.

Mchatta amesema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi ya ukaguzi wa miradi inayotekelezwa chini ya Programu ya Pamoja ya Kigoma kwa ushirikiano kati ya mashirika 17 ya Umoja wa Mataifa, Sekretariati ya Mkoa  na Halmashauri za Mkoa wa Kigoma. Aidha, amesisitiza na kuwaasa maafisa wa serikali na wa Umoja wa Mataifa kuzidi kuimarisha ushirikiano ili kufikia malengo ya Programu ya Pamoja ya Kigoma kwa manufaa na maendeleo ya wananchi wa Mkoa wa Kigoma kama ilivyokusudiwa na Mashirika hayo.

Katika Ziara hiyo iliyofanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 21 hadi 24 Septemba 2020, ilihusisha kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika wilaya za Kibondo, Kakonko, Kasulu na Buhigwe.  Miadi iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa Soko la Mpakani na Ghala la kuhifadhia mazao katika kijiji cha Muhangeambalo likikamilika litaimairisha biashara na ujirani mwema kati ya nchi ya Burundi na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Miradi mingine inayotekelezwa ni Dawati la Jinsia kwenye kituo cha Polisi cha Kibondo, ujenzi wa soko la mpakani la Mukarazi. Ujenzi wa  Chuo cha Ufundi Malorwegwa kinachotoa mafunzo ya ufundi kwa wakimbizi na wananchi wanaoishi katika jamii jirani na Makambi ya wakimbizi, kituo cha mafunzo cha vijana ambao hawakuweza kuendelea na elimu rasmi (IPOSA)  kilichopo katika shule ya msingi Busunzu kinachotoa mafunzo ya ufundi na stadi za maisha kwa vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu

Vilevile katika Wilaya ya Kasulu, miradi inayotekelezwa na Mpango huu ni ujenzi wa ghala la kuhifadhi mazao unaoendelea katika Kijiji cha Mvugwe, kituo cha kuhifadhi  wahanga wa ukatili dhidi ya jinsia na watoto, uboreshaji wa mradi wa maji wa Kabanga unaotekelezwa na RUWASA na.

Ziara ya ukaguzi wa miradi inayotekelezwa chini ya Programu ya Pamoja ya Kigoma, ilihitimishwa tarehe 24 Septemba 2020 kwa kutembelea maendeleo ya ujenzi wa kituo cha vijana wilaya ya Buhigwe, mradi wa ujenzi wa soko la Pamoja kwenye Kijiji cha Muyama ambako takribai vizimba 120 vitajengwa ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuinuia wanawake kiuchumi.

Katika ziara hyo Katibu Tawala aliaambatana na Maafisa mbalimbali waandamizi wa Mkoa pamoja na Halmashauri kwa kushirikiana na Mafisa wa Mashirika yanayotekeleza Programu ya Pamoja ya Kigoma.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa