• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KATIBU TAWALA RUGWA AKUTANA NA WATENDAJI IDARA YA AFYA MKOA WA KIGOMA

Posted on: July 18th, 2024

KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA HASSAN RUGWA AKIZUNGUMZA  NA WAYTENDAJI WA IDARA YA AFYA MKOA WA KIGOMA (HAWAPO PICHANI) ALIPOKUTANA  NA KUZUNGUMZA NA WATENDAJI HAO KATIKA UKUMBI WA JOY IN THE HARVEST MJINI KIGOMA.

Katibu Tawala mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewakumbusha watendaji wa Serikali walio chini ya Idara ya Afya mkoani Kigoma kuzingatia maelekezo na maaagizo m balimbali yanayotolewa na serikali ikiwemo agizo la kutoendelea kutoza fedha kwa ajili ya kulipia kadi za Kliniki pamoja na faini kwa wanawake wanaojifungulia nje ya vituo vya kutolea Huduma za Afya.

Hayo yamejiri kufuatia katibu Tawala huyo kukutana na kuzungumza na watendaji wa Idara hiyo kwa lengo la kuwahimiza kuhusu kusimamia utekelezaji wa agizo hilo lililotolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango alipofanya ziara yake ya kikazi mkoani Kigoma na kuiagiza Wizara ya OR-TAMISEMI kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti suala hilo.

Ifahamike kuwa, agizo hilo lilikuja kufuatia baadhi ya wakazi katika Wilaya za Uvinza na Kasulu kutoa malalamiko kwa kiongozi huyo kuhusu kutozwa fedha katik ya Shilingi 30,000 hadi 50,000 kutokana na kujifungua nje ya kituo cha kutolea huduma za Afya sambamba na kulipia kadi za Kliniki.

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dkt. Ibrahim Salehe amesema Idara ya Afya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na watendaji wake katika ngazi za Halmashauri imeshaanzan kutekeleza agizo hilo ikiwemo kuchapisha kadi za kutosha na kuzigawa kwa wanawake wanaojifungua kupitia vituo vyote vya kutolea huduma za Afya.

Aidha amesisitiza kuwa Ofisi ya Mganga Mkuu Mkoa haitosita kuchukua hatua dhidi ya watumishi watakaokaidi kutekeleza agizo hilo ili kuruhusu utoaji wa huduma hizo bila kuwepo kwa aina yoyote ya kikwazo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa