• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KASULU DC MAMBO SAFI MWENGE UKIPOKEA MIRADI YA BIL. 1.5

Posted on: August 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kobondo Kanali Agrey Magwaza akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isack Mwakisu Leo Agosti 18, 2023 katika kijiji cha Mvugwe wilayani Kasulu.

Imekuwa Siku ya kihistoria kwa kijana huyu mkazi wa kijiji cha Mvugwe wilayani Kasulu(Jina halikupatikana) ambaye tendo la kuushika Mwenge wa Uhuru litabaki kumbukumbu itakayojenga moyo wa Uzalendo daima katika Maisha yake. m

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Kaim akifurahia Jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Joseph Kashushura (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Mganga Mkuu wa Hospitali ya wilaya ya Kasulu Dkt. Rrobert Rwebangira (wa kwanza kushoto) mara baada ya kukagua ujenzi wa Nyumba Nne za makazi ya watumishi wa Afya.

Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Kigoma zimeendelea katika wilaya ya Kasulu ambapo  Leo Agosti 17, 2023 Miradi yenye Thamani ya Zaidi ya Shilingi Bil. 2 imakaguliwa kutembelewa na kuwekewa mawe ya msingi huku mmoja ukiwa ni Ugawaji wa vyombo vya usafiri kwa vijana.

Akizungumza mara baada ya Kuweka Jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa nyuma nne za makazi ya watumishi wa Kituo cha Afya Nyakitonto, Kiongozi wa Mbio hizo za Mwenge Adballah Kaim amesema watumishi wa Umma wanapaswa kutanguliza uzalendo katika usimamizi na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa lengo ya kulinda maslahi ya Taifa.

Ili kumsauidia Rais wetu Dkt. Samia ‘’Niwaombe mzingatie maadili na nidhamu ya kazi ili kuhakikisha mnatoa huduma zenye ubora kwa lengo la kuwasaidia wananchi na kulifanya Taifa lizidi kusonga mbele’’

Katika miradi yote iliyokaguiliwa wilayani humo, nyaraka zote za matumizi ya fedha hazikuonesha uwepo wa dosari huku msisitizo ukielekezwa kwenye utekelezaji wa haraka wa maagizo yaliyotolewa na kiongozi huyo, kufuatia dosari chache za kiutendaji zilizobainika wakati wa ukaguzi wa baadhi ya miradi.

Katika wilaya ya Kasulu Mwenge wa Uhuru umezindua vyumba viwili vya madarasa  Shule ya Msingi Nyamganza, kuweka jiwe la msingi katika mradi wa Maji kijiji cha Mkesha, Ujenzi wa nyumba nne za watumishi katika Hospitali ya wilaya ya Kasulu, barabara ya lami Km 0.5 pamoja na kutembelea kisha kukagua kikundi cha waendesha Pikipiki Makere na bustani ya kuzalisha miche ya miti.

Agosti 17, 2023 Mwenge huo ukiwa wilayani Kibondo, ulitembelea, kukagua na kuweka Mawe ya Msingi kwenye miradi sita yenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Bil. 2 ambapo miradi yote ilipokelewa kisha kiongozi wa mbio hizo kutoa pongezi kwa Uongozi wa Serikali ukishirikiana na wataalam wengine katika kuhakikisha ubora na thamani ya fedha imezingatiwa katika utekelezaji wake.

PICHA MBALIMBALI ZA MIRADI NA MATUKIO KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI KIBONDO NA KASULU.

 

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa