• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Kambi ya Madaktari Bingwa yaanza kazi Mkoani Kigoma

Posted on: November 12th, 2018

Katika kuhakikisha utekelezaji wa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito na watoto Mkoani Kigoma; Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig. Jen. (Mst) ameamua kukabiliana na changamoto  ya uhaba wa magari kwa kuagiza magari yote ya seriakali yatoe huduma za dharula kama Magari ya “Ambulance”

Maganga ametoa agizo hilo wakati akizindua kambi ya Madaktari bingwa ambao wamewasili Mkoani Kigoma kutoa huduma ya matibabu ya magonjwa mabalimbali ya kwa muda wa siku sita katika Hospitali ya Rufaa ya Maweni.

“Wakati mwingine tunapaswa kuishi kulingana na mazingira, tuache kujifananisha nan chi zilizoendelea, gari lolote la Serikali haijalishi ni la Mkurugenzi, Mkuu wa Wilaya au Mkuu wa Mkoa kuanzia leo kama kunadharula yatumike kama magari ya dharuala ili kuokoa uhai wa wananchi” alisisitiza.

Aidha ametoa wito kwa wananchi na wadau wote Mkoani Kigoma kusaidi katika suala hili “ Ofisi yangu ipo tayari kumpatia mafuta mtu atakaye msafirisha mghonjwa kwa dharuala ili mradi tu asitutoze fedha tofauti na mafuta, niwaombe wananchi tuwe na moyo wa kizalendo kuuungana na Serikali katika kuokoa maisha ya watu wetu”.

Mkuu wa Mkoa amewashukuru Madaktari bingwa waliofika kutibu katika Hospoitali ya Rufaa ya Maweni ambapo wanategemea kuhudumia wahitaji zaidi ya watu 800. Amesema Mkuu wa Mkoa “nafarijika sana ninapoona wananchi wangu wanapata fursa za huduma za matibabu kama haya”.

Wagonjwa wengi Mkoaani Kigoma wamekuwa kipata changamoto wanapopewa rufaa ikiwemo umbali toka Mkoani Kigoma wa kuzifikia hospitali kubwa  za rufaa, umaskini wa Wananchi, na ukosefu wa  Madaktari. Amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itaendeleaa kufanya jitihada kila mara ya kusogeza huduma ya tiba kwa Wananchi, ikitambua kuwa ili tuweze kuendelea na kuweza kufikia uchumi wa kati Afya za wananchi lazima ziboreshwe kwa kiwango cha juu.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa