• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

KAIM: TOENI TAARIFA KUHUSU VITENDO VYA RUSHWA

Posted on: August 19th, 2023

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA ABDALLAH KAIM AKIFURAHIA JAMBO MARA BAADA YA KUZINDUA MRADI WA NYUMBA YA WATUMISHI WA AFYA KATA YA NYANSHA, HALMASHAURI  YA WILAYA YA KASULU. KUSHOTO KWAKE NI WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, AJIRA, KAZI NA WENYE ULEMAVU PROF. JOYCE NDALICHAKO AMBAYE PIA NI MBUNGE WA JIMBO LA KASULU MJINI.

NYUMBA YA MAKAZI YA WATUMISHI ILIYOZINDULIWA LEO AGOSTI 19,2023 NA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA ILIYOPO KATIKA KATA YA NYANSHA HALMASHAURI YA MJI KASULU.


MATANKI YA MAJI KATIKA MRADI WA MAJI MRUSI ULIOZINDULIWA LEO AGOSTI 19, 2023 NA MBIO ZA MWENNGE WA UHURU. MRADI HUO UNAWAFIKISHIA HUDUMA YA MAJI JUMLA YA WALENGWA 5550MBIO ZA MWENGE ZIMETEMBELEA MRADI WA VIJANA ''KIKOSI KAZI IPOSA'' WENYE THAMANI YA SHILINGI MIL. 125, ULIOPO MJINI KASULU.

MRADI WA UJENZI WA MADARASA MAWILI KATIKA SHULE YA MSINGI MWIBUYE ULIOJENGWA KWA THAMANI YA SHILINGI MIL. 40. MRADI HUU UMEKAMILIKA NA UMEFUNGULIWA NA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA ABDALLAH KAIM.

MUONEKANO WA NDANI WA MOJAWAPO YA DARASA JIPYA KATI YA MADARASA MAWILI YALIYOFUNGULIWA NA KIONGOZI WA KATIKA SHULE YA MSINGI MWIBUYE HALMASHAURI YA MJI KASULU.

Jamii imetakiwa kuendelea kukabiliana na vitendo vya rushwa kwa kutoa taarifa kufuatia vitendo hivyo kuchangia kuzorotesha kufikiwa kwa mafanikio katika utekelezaji miradi ya Serikali.

Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Abdallah Kaim alipozungumza na wakazi wa Mji wa Kasulu mara baada ya kuhitimisha zoezi la kuongoza mbio hizo wilayani humo.

Amesema rushwa na ubadhilifu vimeendelea kusababisha miradi mingi inayotekelezwa na Serikali kushindwa kukamilika au kukamilika bila kuwa na ubora na viwango vilivyopendekezwa na Serikali.

Katika hatua nyingine, Kaim ametoa wito kwa jamii wilayani humo kuepuka kufanya shughuli za kibinaadam katika maeneo yenye vyanzo vya Maji ikiwemo Kilimo na Ufugaji.

‘’Nasisitiza shughuli za Kilimo na ufugaji zifanyike kwa njia za kisasa hali itakayosaidia katika utunzaji Mazingira huku tukiendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika zoezi la upandaji wa miti rafiki kwa Mazingira katika maeneo yetu’’ amesisitiza Kaim.

Nae Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu) Prof. Joyce Ndalichako(Mb), amesema Serikali inaendelea kuweka kipaumbele katika miradi inayoleta ustawi endelevu na kumnufaisha kila Mtanzania.

Amesema uwekezaji mkubwa umeendelea kufanyika kwenye miradi inayohusisha Sekta za Afya, Elimu, Maji, Barabara na Umeme kwa lengo la kuwasogezea wananchi huduma hizo muhimu.

‘’Wito wangu kwenu ni kuendelea kuiunga mkono Serikali kwa kusaidia kulinda miradi yote iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa na Serikali ili iweze kudumu na kutoa manufaa kwa muda mrefu zaidi’’ amesema Prof. Ndalichako.

Aidha Mwenge wa Uhuru 2023 umeridhia na kupokea Miradi minne yenye Thamani ya Shilingi Mil 714, iliyotembelewa, kuzinduliwa na kuwekewa mawe ya Msingi katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu.


Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa