• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

JAMII WILANI KIBONDO YAASWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUTOKOMEZA MARALIA

Posted on: October 27th, 2022

Jamii wilayani kibondo mkoani  Kigoma, imetakiwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika kutekeleza mpango wa Taifa wa kudhibiti  Marelia nchini kwa kutokwamisha zoezi linaloendelea la  unyunyiziaji dawa ya kiuatilifu ukoko majumbani ili kudhibiti ugonjwa huo hatari.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye alipozungumza na wakazi wa wilaya ya Kibondo, akiwa katika ziara ya kikazi yenye lengo la kutembelea na kukagua maendeleo ya zoezi la unyunyiziaji  wa dawa hiyo katika wilaya za Kasulu na Kibondo ambazo Serikali inatekeleza zoezi hilo kimkoa.

 ‘‘Haiwezekani baadhi ya watu wasiruhusu miji yao kufikiwa na wanaofanya zoezi la kunyunyiza dawa, hii itatusababishia kuendelea kuwepo kwa mazalia ya mbu katika baadhi ya maeneo kisha wataanza kutusumbua mara baada ya kukamilika kwa zoezi hili’’amesema.

 ‘‘Marelia imeendelea kuwa ugonjwa unaosababaisha asilimia kubwa ya vifo vya watanzania huku idadi kubwa ikiwa ni kina mama na watoto. Hivyo kuunga mkono juhudi hizi za Serikali kutatusaidia katika  kujihakikishia usalama wa maisha yetu  na vizazi vyetu’’ amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

Amesema maradhi huchangia kushusha ufanisi katika utendaji kazi pamoja na kupunguza uwezo wa uzalishaji mali katika jamii zetu.

‘‘Unapouguza au kuugua huwezi kuendelea kufanya shughuli zozote za uzalishaji mali na usipopata matibabu sahihi na kwa wakati unaweza kupata ulemavu wa kudumu au kifo’’ amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

Andengenye, amesisitiza wananchi kuendelea kupokea na kuzingatia maelekezo ya wataalam pamoja na kuachana na aina yoyote ya uvumi kuhusu uwepo wa madhara yatokananyo na matumizi ya dawa hiyo.

Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Kibondo, wamekiri kushuka kwa kasi ya ugonjwa huo mara baada ya Serikali kuanza kutekeleza zoezi la Upuliziaji wa kiwatilifu ukoko majumbani katika makazi yao.

‘‘Kwa sasa hali ni tofauti na awali ambapo tulikuwa tukiugua marelia mara kwa mara, lakini tangu lianze zoezi hili la upuliziaji dawa, baadhi yetu imepita miaka mitatu bila kuugua ugonjwa huo’’ amesema Magreth mkazi wa Kitongoji cha Bitulana Mtoni, Kata ya Bitulana.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa