• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

Posted on: May 20th, 2025

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeendelea na Mpango wa kudhibiti na kutoa Tiba kinga dhidi ya Maradhi mbalimbali ambayo yamekuwa yakisababisha vifo, Ulemavu, kupunguza nguvu ya taifa na hata kusababisha serikali kutumia kiwango kikubwa cha fedha.

Kutokana na kuwepo kwa mlipuko wa uginjwa wa polio kwenye nchi jirani zinazopakana na mkoa wa Kigoma, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kudhibiti kuenea kwa maradhi hapa nchini.

Katika kutekeleza Afua hizo muhimu, Mkoa wa Kigoma kupitia Idara ya Afya unatekeleza zoezi la uhamasishaji na utoaji wa chanjo sambamba na utoaji dozi ya nyongeza wa chanjo ya Sindano ya Polio (IPV2)

Ifahamike kuwa, virusi vya ugonjwa wa polio humpata mtu akiwa na umri wowote japo watoto ni kundi linaloathiriwa Zaidi. Maradhi hayo huingia kwa binadamu kupitia chakula kilichochafuliwa kasha huweka makao yao katika utumbo wa mgonjwa na kasha hushambulia midhipa ya fahamu na kusababisha hali ya kupooza kwa sehemu moja au zaidi katika mwili.

Jamii inapaswa kufahamu uwepo wa dalili za ugonjwa wa polio ili kuchukua hatua za kimatibabu mapema ikiwa ni pamoja na motto kukakamaa shingo na mgongo, kuumwa kwa miguu  na mikono, homa, kuhara na kutapika na hali inapozidi kuwa mbaya husababisha hali ya kupooza kwa eneo moja au Zaidi katika mwili.

Ili kukabiliana na hali hiyo, serikali kwa muda mrefu imekuwa ikiendesha mazoezi ya utoaji wa kinga kuanzia watoto wanapozaliwa hadi kufikisha umri wa miezi sita, miaka 10 au 14 kutokana na aina ya chanjo.

Ili kudumisha usalama wa watoto, Dkt. Damas Kayera ambaye ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma anasema watoto wote wanastahili kupatiwa dozi ya pili ya chanjo ya polio wanapofikisha umri wa miezi tisa. Amesisitiza kuwa, kuanzia mwezi Mei 2025, chanjo ya polio ya IPV2 inatolewa kwa dozi mbili sambamba na chanjo nyingine kwa ratiba inayotolewa na wataalam wa Afya katika vituo vya kutolea huduma.

Upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma anasisitiza kuwa, jamii inapaswa kuzingatia utolewaji wa chanjo hizo ili kuimarisha kinga za watoto dhidi ya magonjwa, kupunguza vifo na ulemavu utokanao na polio sambamba na kudhibiti kuenea kwa ugonjwa huo.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa