• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Halmashauri zatakiwa kuweka msukumo uwezeshaji wananchi kwa kutoa Mikopo.

Posted on: December 3rd, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani humo kuhakikisha zinaweka  msukumo na dhamira ya dhati katika eneo uwezeshaji wa makundi maalum kwa kutenga na kutoa mikopo kupitia asilimia 10 (kumi) kwa makundi ya kina mama, Vijana, Wenye Ulemavu ili kusaidia watu kukuza na kupa mitaji.

Andengenye amesema hayao wakati akifungua Kikao cha Ushauri cha Mkoa. Ameongeza kuwa agizo la Serikali la kuwawezesha makundi ya  kina mama, Vijana, na Wenye ulemavu kupitia asilimia 10 (kumi) ya makusanyo ya ndani ya Halamsahauri linalenga kutoa mitaji kwa makundi hayo ili kutengeneza ajira na kukuza uchumi.

“Hakikisheni mnatekeleza, maagizo haya kwani ni ya msingi kwa maendeleo ya watu wetu. Kuna vijana na Wananchi wenye ari ya kukuza uchumi na pengine kutengeneza ajira lakini wanakosa fursa kwa kukosa mitaji” alisema Mkuu wa Mkoa. 

Ameongeza kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa ziangalieni namna ya kukopesha makundi hayo na hata kwa mtu mmoja mmoja kwa kumpima uwezo wake wa marejesho kuliko kuangalia mtu makundi peke yake ili kutengeneza ajira nyingi kwa wananchi, napengine kupitia uwezeshaji wa makundi haya Halmashauri pia itapanua wigo wa ukusanyaji mapato.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Mkoa Andengenye ameziagiza Halmashauri kuhakikisha maeneo yote yaliyotengwa kwa ajili ya viwanda, Uwekezaji na Machinga Mkoani Kigoma kuwa na miundombinu wezeshi ili kurahisisha kila sekta kufanya kazi bila usumbufu.

Amesema katika hali isiyokuwa ya kawaida Mamlaka za Seriakali za Mitaa zimeishia zimebainisha na kutenga maeneo tu bila kuwepo na huduma na miundombinu muhimu ambayo inapaswa kuwepo ili kutoa huduma kwa watumiaji kama vile umeme, maji, barabara na huduma nyinge kulingana na shughuli zilizopo kwenye maeneo husika. 

Amesisitiza kupitia vikao vya Mabaraza viangalie na namna ya kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha maeneo yanayotengwa yanakuwa na miundombinu stahiki.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa