• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Halmashauri yatakiwa kukamilisha Ujenzi wa Mwalo

Posted on: September 10th, 2018

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameuagiza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza kukamilisha jengo na miundombinu ya kuhifadhia samaki katika Mwalo wa Muyobozi uliopo kitongoji cha Muyobozi Kijiji cha Mwakizega ili uanze kufanya kazi kwa manufaa ya wananchi na kuingizia mapato Serikali.


Makamu wa Rais ametoa maagizo haya wakati wa ziara Mkoani Kigoma alipokagua maendeleo ya mradi huo Mradi wa mwalo wa Muyobosi ambao upo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ulianza kujengwa tangu mwaka 2013 hadi sasa umegharimu kiasi cha Shilingi milioni 482 bado unakabiliwa na ukamilishwaji wa miundombinu mbalimbali kama vile umeme, maji, pamoja na uwepo wa taasisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania, Uhamiaji.


Akisoma taarifa ya mmradi huo Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Mhandisi Weja Ngolo amesema kunahaja kupbwa ya kupatiwa kituo cha forodha katika Mwalo wa Muyobozi ili kukusanya mapato na kudhibiti utoroshwaji wa bidhaa mbalimbali kwenda nje ya nchi hususan Congo DRC na Burundi.


Ameongeza kuwa eneo kubwa la mwambao wa Ziwa Tanganyika Wilayani Uvinza halina kituo cha forodha hivyo mazao mengi kama vile madini ya chokaa na misitu yamekuwa yakitorishwa kupitia bandari bubu zilizopo  katika mwambao huo; hivyo kuifanya Halmashauri na Serikali kwa ujumla  kukosa mapato ambayo yangetokana na ushuru. Aidha ameeleza kuwa uwepo wa kituo cha forodha na taassis nyingine kama Uhamiaji katika Mwalo huo utasaidi kudhibiti uhamiaji haramu.



Naye Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mhe. Mwanamvua Mirindoko amemueleza Mhe. Makamu wa Rais kuwa kwa sasa mwalo wa Muyowosi unauwezo wa kuhudumia wavuvi 1200 kwa siku na huweza kupokea tani 70 hadi 80, hadi kufikia mwaka 2018 makusanyo yameongezeka kutoka Shilingi milioni  28.3 kutoka Shilingi milioni, 3 mwka 2016. Hivyo kuwekwa rasmi kwa mwalo huo utaleta manufaa kwa wananchi Wilayani Uvinza na Serikali kwa kuwaletea maendeleo na kukuza uchumi.



Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC ANDENGENYE AZINDUA RASMI ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA KIMKOA

    May 27, 2025
  • JAMII INAPASWA KUZINGATIA CHANJO KUJILINDA NA MARADHI

    May 20, 2025
  • MRADI WA UHIFADHI MAZINGIRA WAZINDULIWA KIGOMA

    May 15, 2025
  • RC ANDENGENYE AKABIDHI VITENGO VITENGO VYA LISHE MKOA NA WILAYA UVINZA

    May 09, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa