• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

HALAMSHAURI ZA SISITIZWA SUALA LA MOTISHA KWA WAFANYAKAZI

Posted on: October 30th, 2017


Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Charles Pallangyo amefungua warsha ya siku sita yenye lengo la kuzijengea uwezo Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kuandaa mpango kazi wenye lengo la kutoa motisha na vivutio kwa watumishi ili waweze kubaki katika maeneo ya vituo vya kazi wanapopangiwa.

Amesema maeneo yaliyopo pembezoni ambako huduma za kijamii, kiuchumi na miundombinu bado havijaimarika na hivyo kuwa changamoto kwa watumishi wanapopangiwa kazi katika maeneo hayo.

Akiwashukuru wafadhili wa mafunzo hayo Shirika la Marekani USAID kupitia PS3, amesema warsha hiyo itasaidia serikali za mitaa kuwa na uwezo sio tu wa kuwabakisha watumishi wanapopangiwa kufanya kazi bali pia kuinua kiwango cha ubora wa huduma zinazotolewa kwa wananchi.

“Nataka niwaeleze viongozi wa halmashauri mnapaswa kusimamia zoezi hili ili liwe endelevu tukifanya kazi yetu vizuri, wafanyakazi ari ya kufanya kazi pia kupunguza idadi ya wafanyakazi kutokaa maeneo ya kazi pindi wanapopangiwa alisema” Pallangyo.

Naye Afisa Sera na uraghabishi wa shirika la PS3 Christina Godfrey, amsema wameamua kutoa mafunzo haya baada ya kufanya utafiti kwa halmashauri 33 nchini Tanzania ambapo katika maeneo yenye changamoto Kigoma nayo ilionekana kuwa miongoni. PS3 imeona kuna umuhimu wa kutengeneza mazingira rafiki ya kikazi kwa kuwafundisha watendaji katika Halmashauri kuwa na mipango mkakati ya kutoa motisha kwa wafanyakazi.

Warsha hiyo imehudhuriwa na Maafisa Utumishi, Maafisa Elimu na Makatibu wa Hospitali kutoka katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma.

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • RC SIRRO AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO KIMKOA

    July 03, 2025
  • JESHI LA UHAMIAJI KIGOMA LAPONGEZWA KATIKA KUKABILIANA NA WAHAMIAJI HARAMU

    June 23, 2025
  • MRADI WA BARABARA MWANDIGA KAGUNGA AWAMU YA KWANZA WAFIKIA 95%

    June 21, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA SAMIA WAANZA KAMBI YA MATIBABU KIGOMA

    June 16, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa