• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko / Mrejesho |
KIGOMA   REGION
KIGOMA   REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kigoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Seksheni
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Seksheni ya Elimu
      • Seksheni ya Afya
      • Seksheni ya Miundombinu
      • Seksheni ya Serikali za Mitaa
      • Seksheni ya Mipango na Uratibu
      • Seksheni ya Uchumi na Uzalishaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Fedha
      • Kitengo cha TEHAMA na Takwami
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Kibondo
      • Halmashauri ya Kibondo
    • Wilaya ya Kigoma
      • Halmashauri ya Kigoma
      • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Wilaya ya Kakonko
      • Halmashauri ya Kakonko
    • Wilaya ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu
      • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Wilaya ya Uvinza
      • Halmashauri ya Uvinza
    • Wilaya ya Buhigwe
      • Halmashauri ya Buhigwe
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Kigoma Ujiji
    • Halmashauri ya Buhigwe
    • Halmashauri ya Kasulu
    • Halmashauri ya Kasulu Mji
    • Halmashauri ya Kibondo
    • Halmashauri ya Uvinza
    • Halmashauri ya Kakonko
    • Halmashauri ya Kigoma
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Kigoma Special Economic Zone
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mikakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Picha

Fursa ya Kongamano la Kwanza la Kibiashara Mkoani Kigoma

Posted on: April 15th, 2019

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana wadau balimbali imeandaa 'Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kibiashara' maarufu kama 'Tanganyika Business Summit & Festival. Kongamano hili la kwanza na la aina yake litafanyika Mkoani Kigoma kwa siku tatu kuanzia tarehe 9 mpaka tarehe 11 Mei, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa NSSF. Mgeni rasmi katika Kongamano hilo atakuwa ni Mhe. Samia S. Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kongamano lina lengo la kuwakutanisha wafanyabiashara wa Mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla na wafanyabiashara wa nchi jirani za Burundi, DRC Kongo, Zambia, na Rwanda ili kwa pamoja kujadili na kuafiki namna ya kukuza biashara na uwekezaji kutokana na fursa zilizopo ndani ya nchi hizi hususan kwenye sekta za viwanda, kilimo, mifugo, uvuvi, usafirishaji na biashara kwa ujumla. Kongamano hili litaleta manufaa mengi kwa Mkoa,Washiriki na Nchi kwa ujumla ikiwemo:-

1.Kutangaza fursa za biashara na uwekezaji baina ya nchi majirani

2.Kuwakutanisha wafanyabiashara/wawekezaji wa nchi washiriki ili kubainisha fursa mbalimbali za kibiashara na uwekezaji zitakazowezesha kuanzisha na kuendeleza miradi katika sekta za viwanda, kilimo, mifugo, uvuvi, usafirishaji, na biashara kwa ujumla.

3.Kuanzisha mahusiano ya kibiashara na muingiliano wa kibiashara baina ya nchi za Maziwa makuu za Tanzania, Burundi, Rwanda, Zambia na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya  Congo.

4.Kuimarisha biashara za mipakani

5.Kujenga mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji baina ya nchi majirani

6.Kujenga muingiliano wa wajasiriamali na wawekezaji au wafanyabiashara wakubwaa

7.Kujenga  moyo na tabia za ujasiriamali miongoni mwa vijana na wanawake wa mkoa wa Kigoma

8.Kujenga mahusiano ya kudumu baina ya taasisi za serikali,na sekta binafsi miongoni mwa nchi wanachama

Watanzania kutoka Mikoa yote wanaalikwa kuchangamkia fursa hii kwa kushiriki kongamano ili kunufaika na fursa mbalimbali zitakazojitokeza ikiwa ni pamoja na kunadi fursa za uwekezaji na biashara za mipakani, kujifunza mbinu mpya za biashara na uwekezaji kutoka kwa washiriki sambamba na kutafuta wabia, masoko, mitaji na teknolojia mpya.

Kongamano linatarajiwa kuwa na washiriki zaidi ya 300 na litaambatana na maonesho (Exhibition) ya bidhaa na huduma mbalimbali kutoka Tanzania, Burundi; DRC Kongo, Rwanda na Zambia

Matangazo

  • MAZOEZI KWA AFYA YAKO March 23, 2017
  • UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024 September 12, 2024
  • UJIO WA MADAKTARI BINGWA MKOANI KIGOMA November 12, 2018
  • Fomu ya Usajili wa Maonesho TBS Kigoma May 01, 2022
  • Ona vyote

Habari Mpya

  • DCP NARCIS MISSAMA AFANYA ZIARA MKOANI KIGOMA

    May 07, 2025
  • JAJI ASINA AKAGUA ZOEZI LA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI-KIGOMA

    May 03, 2025
  • VYAMA VYA WAFANYAKAZI VISIGEUKE MAHAKAMA ZA KUWAHUKUMU WATUMISHI-RC ANDENGENYE

    May 01, 2025
  • PICHA; MAENDELEO YA UJENZI WA UKUMBI WA DKT. PHILIP MPANGO KATIKA OFISI YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA

    April 30, 2025
  • Ona vyote

Video

RC ahimiza wananchi anuani za Makazi
Video nyingine

Tovuti zinazo fanana

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BUHIGWE
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KASULU
  • HALMASHAURI YA MJI KASULU
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA
  • HALMASHAURI YA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA UVINZA

Tovuti zinazo husiana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI PORTAL
  • IKULU
  • OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA
  • IDARA YA HABARI MAELEZO
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    MKOA WA KIGOMA

    Anuani: S.L.P 125

    Simu: 0282802330

    Simu ya kiganjani: +255766853404

    Barua Pepe: ras@kigoma.go.tz / ras.kigoma@tamisemi.go.tz / info@kigoma.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Mkoa wa Kigoma. Haki zote zimehifadhiwa